Recent content by senyaba

  1. S

    Lissu: Tunaitaka Jumuia ya Kimataifa kuwawekea vikwazo vya kiuchumi Magufuli na genge lake

    Kama Mr. Mzungu ndio mbeba maono basi safari bado ndefu
  2. S

    Prof Kabudi: Kati ya pesa na heshima ya nchi yetu, tutasimamia heshima. Tuko tayari kuwasikiliza na kujadiliana kwa heshima

    Mkuu unaonekana hata ujui unacho ongea kama mpaka Leo unadhani Prof kabudi ni mbunge wa viti maalum basi inaonekana wewe uliondoka kabla ya Mr mzungu
  3. S

    Zitto: Mtu sahihi wa kumjibu Prof. Kabudi ni Lissu

    Acha umbulura hata mtoto wa lasaba B ukimpa pesa anajua wapi pa kuzipeleka sembuse mtu mzima
  4. S

    GE2020 Tundu Lissu anajitutumua kuitumia Corona kisiasa lakini wapi!

    Tatizo kubwa ni kuwa wamemteua mtu ambae amekaa nje ya Tanzania kwa miaka 3 na kafika tu na kuanza kuzunguka hilo ni kosa kubwa alitakuwa akae tz japo kwa miezi 2 ili awe ta touch na tz nje ya hapo ndio hayo unayo yaona
  5. S

    Harakati za kusaka wadhamini zinakiuka sheria ya uchaguzi chapter 343

    Kule kwetu tanga hilo tunaita gubu kila. Kitu risasi angetiwa nanii...... Je ingekuwa je
  6. S

    Yaliyojiri: Mapokezi ya Tundu Lissu Jijini Arusha - Ijumaa 14 Agosti, 2020

    Hakuna wa kujificha tar 28 Oct ni kuchagua kati ya wasaliti au wazalendo
  7. S

    GE2020 Ukweli: Lissu atashinda uchaguzi wa Oktoba kwa 70%

    Labda kama uchaguzi utafanyikia berjium
  8. S

    GE2020 Lema: Msafara wa mgombea Urais, Tundu Lissu washambuliwa vibaya katika Ofisi ya CHADEMA Wilayani Hai, Kilimanjaro

    Walikuja Airport kwa mbwembwe police na wana habari wakakausha tu wakaanza kampeni kwa kisingizio. Cha kutafuta wazamini huku wakihubiri chuki police na wana habari wakauchuna sasa wameona vyote vimebuma sasa wameanza kutengeneza move yao.
  9. S

    GE2020 Haihitajiki Kampeni kwa Lissu kushinda urais

    Mi nimekuombea mungu tu azidi kukutia nguvu mzee baba hasa kwenye maisha binafsi kwa ujasili ulio nao maswala ya uoga yanatokea wapi
  10. S

    GE2020 Haihitajiki Kampeni kwa Lissu kushinda urais

    Rushwa na mchango wangu vinahusiana nn
  11. S

    GE2020 Haihitajiki Kampeni kwa Lissu kushinda urais

    Kuna watu mnajua kijifariji duuu mungu azidi kuwatia nguvu hasa kwenye maisha binafsi mzidi kuwa na mioyo zaidi ya hiyo
  12. S

    GE2020 Tundu Lissu: Rais Magufuli asitufanye wote wajinga, jipya ni kujenga uwanja na mbuga Chato

    Nilisha wahi kuwashauri chadema humu kumshambulia magufuri hakuta wasaidia kwenye Sanduku la Kula Kwa kuwa magu kajenga ukaribu Sana na watu wa kipato cha chini na ndio wapiga Kula walio wengi ni lazima chadema iwe na njia mbadala kwenye compeni zake kama Wana Nia ya kuongoza
  13. S

    Azam kufuta Post za CHADEMA: Ujumbe mzuri kwa Media za Tanzania

    Kwani CCM wanapo pata live coverage huwa wanalipa au inakuwa bure? na ingekuwa vzr kama chadema wangesema kuwa wamevilipa vyombo vya habari na vimekataa kuwapa coverage hapo nadhani ndio tungekuwa na pakuanzia kuliko kutoa lawama. Note: mkono mtupu haulambwi
  14. S

    Naomba kujua sehemu nayoweza kupata mbegu bora za ufuta

    Mkuu nalima dodoma na naitaji mbegu kama kilo 100 ila ningependa ziwe OG Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom