Recent content by Senior Boss

  1. Senior Boss

    Biashara ya kahawa na kashata

    Ooooh inalipa inalipa sawa FANYA !! Hamna mkuu unajua kuna raia wanadhani kuyajenga ize ize tu. Ingia field fanya. Eeeeh ujue hela watu tunaitafuta ila sio rahisi as people think. Hela ina codes mazee sio slope tu.
  2. Senior Boss

    Biashara ya kahawa na kashata

    Sasa Si Mfanye Maneno Mengi Ya Nini ?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  3. Senior Boss

    Tank za kuhifadhia maji masafi

    Watu wengine bana kwa hyo hili nalo lakuja kuuliza humu ??
  4. Senior Boss

    Naomba Ushauri: Kutengeneza H Beam Tank Stand (10,000 Litres)

    Ni kweli ila Blo ushai liona pipa la litre 10,000 lilivyo alaf pata picha lijae maji [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Noma Joh lazima uogope design. Mimi slab na msingi wa tower yangu nimekamilika sana najiamini ila daah sio poa joh. Hahaha Nimeona niwe mpole tu league nazo sio nzuri.
  5. Senior Boss

    Naomba Ushauri: Kutengeneza H Beam Tank Stand (10,000 Litres)

    Mwanzoni sasa idea yangu ilikua kitu kama hiki. Kwa tank la litre 10,000 likae floor ya pili na floor ya kwanza store na ground floor iwe jiko. Ila sitaweza fanya tena hivyo sababu ya woga ila msingi na nondo za 16 mm nimeweka kila kitu fresh. Ila hilo tank la 10,000 nimeamua kuliweka ground...
  6. Senior Boss

    Naomba Ushauri: Kutengeneza H Beam Tank Stand (10,000 Litres)

    ERoni Mbongo4life Ndugu Zangu Mbarikiwe Sana Na Ndio Nlichoanza Kufanya. Nashukukuru Mungu hyo tower itakua kwa matumizi mengine na tank la litre 3,000 kwa juu…..Tank la litre 10,000 nimelijengea base separate pembeni kabisa. Aisee Mbarikiwe Sana.
  7. Senior Boss

    Naomba Ushauri: Kutengeneza H Beam Tank Stand (10,000 Litres)

    I know and i aint stu.pid bro ndio maana nlikuja omba washauri huku, nimesha badilisha plan pale juu litakaa tank la litre 2000 au 3,000 Tank la litre 10,000 kwa vyovyote haliwezi kukaa juu ya hyo slab…..litakaa nyuma ya nyumba na ujenzi wa base yake (Kwa Chini ground kabisa) nimekamilisha...
  8. Senior Boss

    Nimedhamiria Huu mwaka najenga

    Safi, Basi nawe uko exposed kuna watu humu wanapigwa mahela mengi unasoma posts unacheka tu behind the screen. Grills umenunua wapi ?? Hyo rate yako ya 70K kwa vyumba vyote nlivyotaja hapo inazidi na sumtyms huenda ukapigwa cement ujue unaeza ukawa unalipa bei ndogo as labor charge ila ukiwa...
  9. Senior Boss

    Nimedhamiria Huu mwaka najenga

    Plasta mafundi kama nlivyosema awali nawalipa day job 20,000 - 25,000 (kama ni 20,000 nimempa fundi namtia 2000 ya nauli hakai mbali na goba) ina range humo siku zingine nampa 25,000 Kibarua alikua anakula 15,000 anaishi goba huko huko…..vijana wapo wa kutosha sana and cheap labor….na wanakuwa...
  10. Senior Boss

    Nimedhamiria Huu mwaka najenga

    Watu sasa tumetoboa projects kadhaa effectively kwa style hyo (Goba Areas). Tunaenda site mapema asubuhi na jioni pia tunapanga kazi na kutoa maagizo site mtu 3 tu….Fundi na Vibarua Wawili au Sumtyms Watatu na Ujenzi Unaenda Bila Shida Na unakuta una save hela kibao. Uraiani kuna nguvu ngazi...
  11. Senior Boss

    Naomba kujuzwa gharama za shimo la Choo

    Mi najua fika mbona naangalia mifumo ya sasa ya kishamba mavyoo ya watu yana buma daily kinyaa tu unachimba shimo dogo eti hakijai bla bla mwishowe aibu tu Chimba shimo la choo foot 12 kwenda chini upana wa kama simtank la maji…..jenga tofali ki aina ukiacha nafasi au tofali zenye matobo….hilo...
  12. Senior Boss

    TANZIA Mtanzania auliwa kwa kupigwa risasi Marekani, anaitwa RODGERS KYARUZI, alipata maluweluwe

    Anaandika MC Baraka Galiatano From Face Book Nime Copy na Ku Paste Kama Ilivyo [emoji1484][emoji1484][emoji1484][emoji1484] TANZIA :Wandugu wanajumuiya wa Tanzanite Community of Georgia, TCG. Kwa taarifa zinazoendelea kwenye mitandao ya jamii hasa pia kwenye vyombo vya habari na vyombo vya...
  13. Senior Boss

    Naomba Ushauri: Kutengeneza H Beam Tank Stand (10,000 Litres)

    Hilo pipa ni litre ngap chief ?? Sasa mi nlipanga niweke slab ya pili juu
  14. Senior Boss

    TANZIA Mtanzania auliwa kwa kupigwa risasi Marekani, anaitwa RODGERS KYARUZI, alipata maluweluwe

    Nimesikitika sanaa aisee. Daaah Namfaham sana huyu jamaa zamani sana kipindi yupo bongo aliwahi soma academic international primary school in Mikocheni akiwa anaishi Kijitonyama alikua na aunty yake nae alikua mwalimu hiyo hiyo shule…..then after the 4th grade yeye na mama yake wakaruka ng’ambo...
  15. Senior Boss

    Naomba kujuzwa gharama za shimo la Choo

    1.3 M - 1.5 M style ya zamani which i recommend…achana na style mpya. Tumia tofali flani hivi zenye matobo katikati maji yanajichuja chini chenyewe hakijai. Kujaza chemba sio masihara joh. Watu wengine wana mashimo style ya zamani na miaka kibao hayajai kuna ujengaji flani fundi anatumia tofali...
Back
Top Bottom