Mambo madogo madogo mnataka kuyakuza kisiasa sifa ya rais ni kuwa mtanzania wa kuzaliwa ata kama ndugu zake Co wtzania muacheni mm afanye kazi mkapa katawala miaka kumi lakini asili yake msumbiji mbona amkupiga makelele, mwendazake mlisema Ana asili ya burundi mbona amkupiga kelele muacheni mm...
Hivi nani alikwambia wanyama wanaweza kuisha kwa kuuzwa ujui wanyama wanazaliana uko nyuma binadamu walikuwa wanauzwa ulaya wakitokea africa karne zikapita lakini waafrica awakuisha, samaki, ngombe nk kila cku wanavuliwa lakini awajaisha
Kulikuwa na majimbo mangapi je majimbo yaliopita bila kupingwa yalikuwa mangapi ambayo kasoro ujazaji form kuwa na akili wkt unacomment Uelewa ukweli kura zilijazwa ushahidi jimbo la kawe wt walikamatwa lakini hakuna aliyefikishwa mahakamani
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Mbowe anatakiwa aifute hii kauli na yy alikuwa mgombea alikuwa dhaifu yy kama alitaka kupiga kijembe lisu amekosea lisu ndio mgombea sahihi kwa sasa kama anataka kugombea urais 2025 atakuwa amefanya kosa kubwa sana lisu pamoja na makandokando ameweza kupata kura zaidi ya million mbowe changanya...
Unataka urais alafu unakuwa mwoga wa kufa kila cku usalama wkt sasaivi nchi iko salama mm anaupiga mwingi ktk demokrasia na maendeleo muhimu kauli zenu za kutishia serikali muache mara moja
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Membe ajafanya kosa lolote alifukuzwa kwa matakwa ya magu tofauti wa kina mdee awa ni wasaliti, wamefoji hii ni jinai, pili awajaomba msamaha wala kukiri kosa sasa unawasameheji wt kama hawa
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.