Watanzania tukitaka tuwe na umoja tusiwe tunabagua tungekuwa na huruma tungeungana sana na police wetu wengi wamepotea maisha kibiti pamoja na viongozi wengi sana, nao ni binadamu wana familia zao zilizokuwa zinawategemea lakin watanzania hatufanya chochote wala kutoa michango ila leo sababu ni...
Kuna viongozi wa ccm walipigwa risasi kibiti pamoja na police wengi tu lakin hatukuona rambirambi wala kusema chochote ila lisu sababu yeye ni mbunge ndiyo tuwe mbele kwake haipo hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani waliopigwa risasi kibiti sio binadamu mbona hamkusema nao wakatibie nje? Na hata michango hamkuwachangia mngekuwa na huruma mngechanga kwa ndugu zetu wa kibiti
Sent using Jamii Forums mobile app
Wataisingizia serikar sana wakati wenyewe hata kubadirishana uwenyekiti wanashindwa sasa kwa nini wasiuwane kama wanaona kuna mtu anakiherehere!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi yenu kusingizia serikari wakati wenyewe chadema wanatoleana macho urais 2020 na watauwana wenyewe harafu wanasingizia serikari
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupoteze hela zetu za serikar kumpeleka nje wakati kuna polic na viongozi wengi wamepigwa risasi kibiti na hamkusema wakatibiwe nje
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.