Acha kuropoka mkuu, kanda ya ziwa gani wanawezakuacha kumchagu magufuli wakamchagua lowasa, hatuwezi kufanya upuuzi unaoufikilia, hatuko tayari kupoteza fursa, ungeuliza wananchi usiniletee mambo ya semina, ulitokea wapi kuja mwanza kwenye semina? Au kilimanjaro nn?