Apo ninaposhindwa kuilewa chadema majimbo yote mlisusia uchaguzi haya majimbo mawili wanaweka wagombea ususani kinondoni c wangewaachia kama wao kweli wapenda ukawa ......naona kuanzia mashabiki wa chadema na viongozi wao wanaficha ukweli juu ya ukawa nani mnufaika baina ya vingne pamoja na chadema
Katika marais wapole uyu ni mpole kweli, kuliko mtangulizi wake uyu kamfunga nani mpaka sasa,lakn aliyepita ameshawafunga watu kina basil mrmba.Daniel yona ,na wengne wamenusurika kina mahalu..so kwambii Dr ulimboka na usisahau wa mtwara. .uyu kamfanyia nani...wanaosema uyu ni mkali kufuata...
Waslam wanaishi kokote kwa amani,na waislam wapenda amani na haki.mf
Hapa nchini wakitawala wakristo kila sehem vilio na majina mengi ujitokeza,unga wa njano..funga mkanda. Ukapa...lakn wakitawala waislam kila sehem furaha na majina mengi matamu uwaita mzee wa ruksa.mzee was kuchekacheka...na...
Uislam ni dini ya amani ata watu wake wa amani.mfn. hapa nchini wakitawala wakristo kila Mtu analia na kutoa majina mbalimbali unga wa njano, funga mkanda, ukapa, vyuma vimekaza..lakin akitawala muislam kila sehemu furaha na majina mengi yanaibuka mzee wa ruksa.. Mzee was kuchekakucheka na nk...
Msando anachokifanya ndicho kilichompeleka...kwan vijana wengi wa ccm wameshindwa kujibu hoja badala yake wanapiga picha na migwanda bila ya kujibu...namuona msando wa kesho akichukua nafac ya mpolepole asiyejua kujibu hoja za wapinzani
Anachofanya msando vijana wa ccm wengi wamekosa kama sio wote..msando anajibu hoja.anasema anachokiamini juu ya ccm lakn uvccm wamekosa kazi yao kupiga picha na magwanda ya chama.....namuona msando kuchukua nafac ya mpolempole asiyejua kujibu hoja...kwa iyo msimlaumu iyo ndo kazi iliyompeleka...
Kikwete alikuwa makini sana ktk kujenga kuliko kulalamika...uwanja ndege terminal 3..bunge.makao makuu tanesco.mroganzila.kupandisha mishahRa.udom.flyover..barabara nk.au hayo madogo
Naomba uulize ile meli mbovu MV bagamoyo..uuzwaji nyumba za serikali na ujengaji wa hostel mvovu...kikwete hajamuhajibisha ata mtu mmoja au ilo haukuona
Vijana wengi wanaoichukia ccm ni wanafk..wanaichukia ccm mtandaon lakn mfukon wana kadi za ccm..mfano. Albert msando.mpolepol wote walikuwa wakwanza kuiponda ccm Leo wako wap....kwa iyo vijana wanaiponda kinafk ccm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.