Nashauri fedha ambazo zitatengwa kufanyia uchunguzi zielekezwe kukabiliana na janga la corona kwani Mheshimiwa spika alikwisha kamilisha uchunguzi kwa kuwatuma madaktari wake ambao walimthibitishia kuwa Mh Mbowe alikuwa amelewa chakari akateleza kwenye ngazi na kuteguka kidogo kwenye kifundo cha...
Kama ni mpango basi sawa na magaidi ambao hujilipua . Ni ujasiri wa hali ya juu mtu kupanga uvunjwe miguu kisa kutafuta nafasi ya uongozi . Hebu wewe tukuahidi ukatwe kidole komoja tu cha mkono halafu upewe kuitawala dunia
Mnatuchanganya humu ndani , tukamsikilize nani Mtawalala au Mwanasiasa na nadhani itakuwa ni wakati mmoja. Inanikumbusha yale maaandamano ya ukuta na zoezi la usafi wa jiji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.