Recent content by selase

  1. S

    A letter to "The Inept Makonda"

    MKUU UWE NA HURUMA KIDOGO,WE UMEANDIKA KINGEREZA UNAFIKIRI BASHITE ATAELEWA KWELI?UPO SIRIAZI KWELI?
  2. S

    Upinzani Subirini kwanza nchi iendelee, ndio Wananchi tujaribu kuwapa nchi mjaribu kuiongoza

    Hebu tuleze hii nchi inaendeleaje bwan? na katika makala yako hii haielezi nchi inaendeleaje, naona umechanganya kingereza kisichokuwa na mbele wa nyuma, na porojo nyingi sana,pia imejaa maneno yanoyoonesha njaa ndio inakufanya uongee hicho ulichokiongea
  3. S

    "Kati ya Wasifiaji wa Rais Wakiwemo Machawa na Wakosoaji wa Rais, Watu Critical, Nani Wanamsaidia zaidi Rais, Serikali Yake?

    Pascal Mayalla, Taifa lolote duniani haliwezi kuendelea kwa wananchi wake kumsifia Raisi tu, lazima wananchi wajenge utamaduni wa kukataa yale ambayo wanaona hayawezi kulipeleka taifa mbele. sasa kwa mfano ubaya wa baadhi ya wananchi wa kawaida na viongozi waliopo kwenye system wanasifia hata...
  4. S

    Jiji la Dar es Salaam laongoza kwa kukusanya mapato kipindi cha robo mwaka na Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho

    Acha kutulisha matango pori wew kilaza na huyo kilaza mwenzako unayemtetea,Ndio maana nimekwambia either way,hujui mambo ya tax na uchumi.ukisema eti sijui local gvt au serikali kuu sijui huyu anakusanya nin,BADO NI UONGO MKUBWA.HICHO UNACHOTUAMBIA UKAKISEME KWA WANAWAKE WENZKO MKIWA SALOON.NDIO...
  5. S

    Jiji la Dar es Salaam laongoza kwa kukusanya mapato kipindi cha robo mwaka na Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho

    Either way brother,sio kweli kwamba dodoma inaweza kuipita dar kwa mapato.Na wew ni mnafiki tu unaeyetetea tumbo.Madhara ya vyuo na shule za kata.watanzania hawatawaunga mkono kwa kutaka upate neema na familia yako kwa kutetea uozo kwa kuwa unashawishi jambo ambalo haliwezekani,UMENISIKIA WEW...
  6. S

    Jiji la Dar es Salaam laongoza kwa kukusanya mapato kipindi cha robo mwaka na Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho

    wew Mariamu sikiliza mimi sijasoma chuo cha kata kama wew,uliefundishwa kuwa kutetea uozo,kuwa mbinafsi,kuficha ukweli ndio uzalendo.sisi nyeupe tnasema ni nyeupe.wew shule ni kata,chuo ni kata,sasa una nini cha kusema
  7. S

    Jiji la Dar es Salaam laongoza kwa kukusanya mapato kipindi cha robo mwaka na Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho

    KWA MUJIBU WA HUYO UNAEMTETEA HAKUWA SPECIFIC,KWA HIYO UNAYOYALETA NI YA KWAKO
  8. S

    Jiji la Dar es Salaam laongoza kwa kukusanya mapato kipindi cha robo mwaka na Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho

    Kwa kuongezea tu mkuu,tupo karne hii lakin bado wanahamasishwa kujenga vyoo.da,ngome ya ccm hiyo
  9. S

    Jiji la Dar es Salaam laongoza kwa kukusanya mapato kipindi cha robo mwaka na Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho

    Taifa lolote likiwa na kiongozi muongo ni aibu kubwa,na kiongozi huyo hafai kuwa kiongozi,DODOMA IONGOZE DAR KWA KUKUSANYA MAPATO?JIJI LINA BANDARI,LINA KILA KITU.UONGO MKUBWA'HUFAI.
  10. S

    Lighter Touch: Ule uvumi ungenoga hivi leo

    Wewe mwenyewe ni wa ajabu lakini hujisemi,siasa isifanye umchukie mtanzania mwenzako kwa sababu ya itikadi.umenielewa wew Asha?
  11. S

    Upinzani ulikuwa wa Dr. Slaa, huu wa sasa maigizo tu.

    Kipindi hiki hayo maigizo unayoyasema yameletwa na watu kupigwa risasi,watu kutekwa hovyo,watu kudhulumiwa mali zao kwa kuwa mrengo flan wa siasa,watu kunyimwa kufanya siasa,watu kutishiwa,nk.JITAFAKARI UNAYOYAONGEA USIROPOKE KAMA BATA ANAYEJISAIDIA,NJAA ZAKO ZISIKUFANYE UTETE UOZO.SAWA MARIAMU?
  12. S

    Jaffo: Wapiga kura zaidi ya milioni 15 sawa na 68% wajiandikisha uchaguzi serikali za mitaa Arusha, Kigoma na Kilimanjaro zashika mkia

    Hivi niulize tu hiyo mikoa inayotajwa kuwa wa mwisho ukitoa kigoma maendeleo yake yapoje?je watu wake wapoje?uwezo wao wa kufkiri upoje?elimu ya watu wa mikoa hiyo ipoje?
Back
Top Bottom