Kipindi hiki hayo maigizo unayoyasema yameletwa na watu kupigwa risasi,watu kutekwa hovyo,watu kudhulumiwa mali zao kwa kuwa mrengo flan wa siasa,watu kunyimwa kufanya siasa,watu kutishiwa,nk.JITAFAKARI UNAYOYAONGEA USIROPOKE KAMA BATA ANAYEJISAIDIA,NJAA ZAKO ZISIKUFANYE UTETE UOZO.SAWA MARIAMU?