Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,884
- 33,401
Enzi zile hungeweza kumuona Dr. Slaa amebeba umbea kutoka kwa watu aina ya Kigogo kisha anapost Twitter.
Yeye alikuwa Anabeba mafile yenye data za kimaandishi na alikuwa anaenda kuwagawia hadi waandishi wa Habari hizo data zake. Alikuwa anakuja na nondo mpaka system inatetemeka.
Najua mtasema enzi zile kulikuwa na uhuru sijui wa takataka gani, ni kwamba wale waliwahi kupigwa hadi bomu kule Arusha.
Fikiria mtu kama Mashinji ambae tulitegemea awe ana chokonoa madudu ya selikali au kupika hoja za kimbdala wa ccm eti na yeye yuko kimyaa lakini kwenye udaku wa kigogo akaibuka?
Eti na yeye Fatuma Karume anawafuasi wake huko Twitter akawaambia tungefanyaje kama si kigogo
Hapa ndio nikasema sasa uanaharakati wake kumbe anasombwa hata na mafuriko ya kigogo?
Kiukweli wasomi na wapinzani wa Tz ni kichefu chefu sana.
Yeye alikuwa Anabeba mafile yenye data za kimaandishi na alikuwa anaenda kuwagawia hadi waandishi wa Habari hizo data zake. Alikuwa anakuja na nondo mpaka system inatetemeka.
Najua mtasema enzi zile kulikuwa na uhuru sijui wa takataka gani, ni kwamba wale waliwahi kupigwa hadi bomu kule Arusha.
Fikiria mtu kama Mashinji ambae tulitegemea awe ana chokonoa madudu ya selikali au kupika hoja za kimbdala wa ccm eti na yeye yuko kimyaa lakini kwenye udaku wa kigogo akaibuka?
Eti na yeye Fatuma Karume anawafuasi wake huko Twitter akawaambia tungefanyaje kama si kigogo
Hapa ndio nikasema sasa uanaharakati wake kumbe anasombwa hata na mafuriko ya kigogo?
Kiukweli wasomi na wapinzani wa Tz ni kichefu chefu sana.