Kila la heri na tukutakie maandalizi mema. Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inafanya kazi kwa Uwazi na Weledi kwa kuzingatia Sheria, taratibu na kanuni.
- Tangazo la kazi huandaliwa kwa kuzingatia sifa kwa mujibu wa Muundo wa kada husika uliowasilishwa na Mamlaka ya ajira husika.
- Tangazo pia huzingatia masharti ya jumla yanayotolewa na Sekretarieti ya Ajira ambayo yanatafsiri Sera, Sheria Kanuni na Miongozi mbalimbali inayohusu michakato ya...
Kwanza hapo unafahamika kama VEO, fanya utaratibu ubadilishiwe usomeke kama unavyotaka na hii ni kwasababu ya cheki namba. Pia muajiri wako lazima aridhie kuhama kwako na kule unakotaka kwenda kuwe na nafasi
Mchakato wa ajira ni utaratibu wa kupata mtumishi wa kumwajiri. Mchakato huu unaanza katika hatua ya kupata kibali cha ajira, kutoa tangazo la ajira, kupokea maombi ya kazi,kufanya uchambuzi wa waombaji kazi ili kupata wale waliokidhi vigezo, kuita waombaji katika usaili, kuendesha usaili...
Karibu Maneno. Kwenye website kuna nafasi za ajira zimetangazwa. Jiunge na Ajira Portal jisajili ili uweze kuingia katika mchakato. Chamsingi ni kujiamini tu kuwa unaweza
Sawa, asante kwa Ushauri. Kwa mfumo huu hata watu wa nje watakuwa na nafasi. Tulikwisha anza kufanya usaili kwa watu walio nje ya Tanzania ila si kwa kiwango kikubwa. kwasasa tunaandaa mifumo wezeshi ili kila mtu awe na nafasi ya kufanya usaili popote alipo lengo likiwa ni kupata kilicho bora...
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma hivi karibuni inatarajia kuendesha usaili wa kuandika kielektroniki. Hivyo imeandaa mikutano ya kukusanya maoni na mahitaji ya mfumo wa kieletroniki wa kufanya usaili wa kuandika (Online Aptitude Test System).
Mikutano hii itafanyika katika vituo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.