Rais wa Botswana Dr Masisi ametangaza kuhutubia taifa week hii kueleza hatua inayofuata katika kupambana na ugonjwa wa Corona.
Tetesi zinasema Rais huenda akafungulia curfew iliyokuwa imewekwa tangu January mwanzoni ya kutotembea kuanzia saa moja usiku
wengine wanabashiri huenda akaruhusu bar na...
Katika pitapita zangu rafiki yangu amenionyesha mtandao wa JamiiForums.
Nimeupenda sana kwa taarifa zenu ambazo ni up to date.
Nimejiunga nanyi leo natokea Gaborone Botswana Kl 350 to Johannesburg.
Nimeishi hapa miaka mingi sana na nimekuwa kama mzawa wa hapa.
Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.