Recent content by Seif Kazige Mbambizi

  1. Seif Kazige Mbambizi

    Waziri Mkuu: Ujenzi wa ukuta Mirerani umeongeza mapato. Yamepanda kutoka milioni 147.1 hadi milioni 714

    Nimeshindwa kuelewa vizuri hiyo hoja tafadhari alieelewa vizuri anisaidie
  2. Seif Kazige Mbambizi

    Rais Magufuli: Wawekezaji wakichelewa kufanya mazungumzo na Serikali nitafunga migodi yote nchini

    Ni kweli Mheshimiwa Presda JPM lazima waoneshe kwamba wanania ya mazungumzo ili kumaliza mgogoro uliopo kuliko kukaa kimya huku wanaendelea kuchimba madini yetu.
  3. Seif Kazige Mbambizi

    Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

    Sio rahisi sana watanzania wote wakawa kama uniform za shule flani, hata siku moja maisha ya mwawanadamu hayawezi kuwa sawa. Tangu zama za manabii walikuwepo masikini na matajiri. Kikubwa ni wazazi kujua wajibu wao na kuwalea watoto wao kulingana na hali ya maisha waliyo nayo.
  4. Seif Kazige Mbambizi

    Rais Magufuli: Sitasomesha Wanafunzi waliopata ujauzito, siwezi kusomesha Wazazi

    Namuunga mkono Mheshimiwa Rais JPM katika suala hili. Vyovyote vile mtu anaeweza kuitafsiri kauli ya Mh Rais JPM ya kupinga watoto wa kike wanao beba mimba wakiwa shuleni kuendelea na masomo kwa jinsi yoyote ile anayoiona katika kafakuri yake. Yupo anaweza kuona kwamba ni kitendo cha...
  5. Seif Kazige Mbambizi

    Ni kitu gani kimejificha katika Mgogoro wa Kibiti?

    Mauaji hayo nimatokeo ya mgogoro jamaa yangu. Unataka nikupeleke darasani nini?
  6. Seif Kazige Mbambizi

    Ni kitu gani kimejificha katika Mgogoro wa Kibiti?

    Ni muda mrefu sasa tangu matukio ya mauaji yaanze kutokea katika maeneo ya Kibiti, mwazo ilionekana kama mchezo mchezo hivi lakini kadri siku zinavyo zidi kusonga mbele inaonekana tatizo hili linaendelea kukua na maisha ya watanzania wenzetu yanazidi kupotea bila sababu. Muda umefika sasa...
  7. Seif Kazige Mbambizi

    Lissu: Kumkamata Harbinder Sethi na James Rugemalira ni sawa lakini haitoshi

    Hawa ni watu wagumu sana kuelewa hata kama wamesoma elimu ya mkoloni, ubaya ni kwamba ukisoma elimu ya mkoloni sana unaishia kuwa ajenti wake
  8. Seif Kazige Mbambizi

    TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

    Mimi sio mtetezi wa chama na serikali yake isipokuwa naona ushindi kwa wanyonge kwasababu hilo lilikuwa azimio la bunge ambalo bahati mbaya maamuzi yake yamechelewa kufanyika
  9. Seif Kazige Mbambizi

    TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

    Huu ni ushindi kwa wanyonge kwa sehemu kubwa haijalishi matokeo hapo mwisho yatakuwaje lakini ni hatua nzuri na inayohitaji kupongezwa. Uhujumu ni kosa kubwa zamani enzi za mwalimu watu wenye makosa hayo walikuwa wanachezea kuzuizini mpaka wanasahaulika uraiani. Najua bado kunatatizo katika...
  10. Seif Kazige Mbambizi

    TAKUKURU yawafikisha mahakamani Harbinder Sethi na James Rugemalira kwa kosa la Uhujumu uchumi

    Ni jamb o jema Ni jambo jema sana kama bwana Harbinder Singh Sethi na mwenzie James Lugemalila wanaweza hata kupiga magoti leo huo ni ushindi mkubwa kwa wanyonge. tuache kubeza hili picha sio la kihindi.
Back
Top Bottom