Recent content by seidss98

  1. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM. SEHEMU YA 08 Wakati wao wanaingia ndani upande wa pili Hamad na Ticha wakiwa njiani wanarudi mjini ghafla walikutana na gari nyeusi imezuia bara bara mbele yao, walipata mshangao sana wakapunguza mwendo kisha wakasimama, upande alikokuwa...
  2. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM. SEHEMU YA 08 Wakati wao wanaingia ndani upande wa pili Hamad na Ticha wakiwa njiani wanarudi mjini ghafla walikutana na gari nyeusi imezuia bara bara mbele yao, walipata mshangao sana wakapunguza mwendo kisha wakasimama, upande alikokuwa...
  3. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM. SEHEMU YA 07 Lilikuwa swali zito sana kwake kulijibu, machozi yalimtiririka kama baadhi ya wanafunzi ambao walikuta matokeo ya siamini wakashindwa kujizuia na kuangua kilio. Hakuweza kuamini alichokiona Seid, maswali mengi yaliingia...
  4. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM. SEHEMU YA 07 Lilikuwa swali zito sana kwake kulijibu, machozi yalimtiririka kama baadhi ya wanafunzi ambao walikuta matokeo ya siamini wakashindwa kujizuia na kuangua kilio. Hakuweza kuamini alichokiona Seid, maswali mengi yaliingia...
  5. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM. Mwanzo Kumbu kumbu..... "Mama!, Kila siku nakuuliza kuhusu baba yangu yuko wapi hunijibu na kunambia utanambia utanambia utanambia, nna miaka tisa sasa hivi simjui baba yangu. kwa nini lakini mama!, kuna kitu gani hasa kikubwa kinakufanya...
  6. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM. Mwanzo Kumbu kumbu..... "Mama!, Kila siku nakuuliza kuhusu baba yangu yuko wapi hunijibu na kunambia utanambia utanambia utanambia, nna miaka tisa sasa hivi simjui baba yangu. kwa nini lakini mama!, kuna kitu gani hasa kikubwa kinakufanya...
  7. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM SEHEMU YA 06 bora nikose kibarua kwa ajili yako madam, naomba unisubiri hapo nje niende nimwambie nimeacha kazi ili japo tuongozane nipajue utapoishi kwa sasa, tuendeleze udugu wetu sababu umenisaidia mengi sana ambayo yalinifanya nikuone...
  8. seidss98

    Riwaya: MSAMAHA WA MAMA

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM SEHEMU YA 005 Niliongea kwa huruma na sauti ya chini kwani tayari nilishahisi kuna kitu nimemkosea mme wangu na mimi nlikuwa sipendi nimkosee kwa lolote. Nilipomuuliza hivyo aliniangalia sana kwa jicho la husda mpaka nliogopa, alionekana...
  9. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM SEHEMU YA 005 Niliongea kwa huruma na sauti ya chini kwani tayari nilishahisi kuna kitu nimemkosea mme wangu na mimi nlikuwa sipendi nimkosee kwa lolote. Nilipomuuliza hivyo aliniangalia sana kwa jicho la husda mpaka nliogopa, alionekana...
  10. seidss98

    Riwaya: MSAMAHA WA MAMA ( sehemu ya 04 )

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: Seid Bin Salim. Sehemu ya 04 Ilipoishia jana.... Mjukuu wangu!, mwaka 1992 wakiwa tayari wana miaka miwili ndani ya ndoa yao, lilitokea Tukio ambalo sitolisahau katika maisha yangu yote ya duniani, na hicho ndo kitu ambacho nahisi najma ataendelea...
  11. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: Seid Bin Salim. Sehemu ya 04 Ilipoishia jana.... Mjukuu wangu!, mwaka 1992 wakiwa tayari wana miaka miwili ndani ya ndoa yao, lilitokea Tukio ambalo sitolisahau katika maisha yangu yote ya duniani, na hicho ndo kitu ambacho nahisi najma ataendelea...
  12. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: Seid Bin Salim Sehemu ya 03 Ilipoishia.... Kutokana na mapenzi ya mama aliyonayo kwangu, alipanga zamu ya kulala kitandani kwa wiki moja moja. ni maisha ambayo tulishayazoea, ilipokuwa ikifika zamu yangu mama analala chini,na ikifika zamu ya mama kama...
  13. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: Seid Bin Salim Sehemu ya 03 Ilipoishia.... Kutokana na mapenzi ya mama aliyonayo kwangu, alipanga zamu ya kulala kitandani kwa wiki moja moja. ni maisha ambayo tulishayazoea, ilipokuwa ikifika zamu yangu mama analala chini,na ikifika zamu ya mama kama...
  14. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: Seid Bin Salim Sehemu ya Pili. Machozi yalishaanza kunitoka, mama nae tayari alikuwa anabubujikwa na machozi kwa nilichomuambia. " mamaangu mimi nateseka sana mwanao, naomba unambie kuhusu baba niteseke kwa kuchekwa kuishi na mama yangu lakini nkiwa...
  15. seidss98

    Riwaya: Msamaha kwa mama

    Riwaya: FORGIVENESS OF MAMA! Mwandishi: SEID BIN SALIM. Mwanzo Kumbu kumbu..... "Mama!, Kila siku nakuuliza kuhusu baba yangu yuko wapi hunijibu na kunambia utanambia utanambia utanambia, nna miaka tisa sasa hivi simjui baba yangu. kwa nini lakini mama!, kuna kitu gani hasa kikubwa kinakufanya...
Back
Top Bottom