Ila kama umelipenda sana nunua,ukushashuhudia mbwembwe zake si unamtafuta mbulula unamuuzia we unaangalia jingine.kwani wengi bado hawajazistukia ila ninaowajua wote wenye voxy na noah neww model zimeshawaliza na wanalia
Ndio mkuu,tena wakanitumia kwa DHL inspection certificate na document zote muhimu na kwa softcopy pia ila kulitumia tu matatizo kibao yaani linaongoza kwa manunuzi (yaani kwa kununuliwa ila liko ovyo hatari)visit www.beforward.jp for your further perusal
Ni kimeo balaaaa mi ya kwangu nilinunua november 2012 ukifanya safari ndefu tu had moro injini imeshachemsha balaaa.nimempata mteja juzi kati nimemsukumia janga.usithubutu kununua mkuu ni uzuri wa nje tuu
Pole sana shost hiyo sio kawaida,mbona mwenzio najisikia kichefuchefu nikifikiria kutumia dushelele nyingine tofauti na ya mume wangu?hebu fikiria kupumuliwa na kukojolewa na jitu jingine.au kila mtu aone K..... Yako mhhhh.kuolewa ni neema na kama unahitaji kila siku kufanya mapenzi mwambie...
Hukumpa mia tano kwa sababu na wewe huna,tena unaonekana ni wa tandale ila unajiita wa kishua,wenye hela huwa hawajisifii na huna mwanasheria wala nini unajipa promo lloooh
No nooooo umeambiwa K... Ni pango? tena wala hakuna kuflow out.my self i enjoy a lot and my husband knows it and he always put me on top.najikadilia tu kiasi ninachotaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.