Recent content by second kinggg

  1. second kinggg

    Wakristo tujifunze kwa ndugu zetu Waislamu, wakati wa kufuturu unapata futari popote pale kwa urahisi bila bughuda, manyanyaso au kusubiri mwaliko

    kitu kingine mkuu usichokijua tofauti yetu na waislamu , wakristo wengi hatufungi kula kama waislamu wengi hufanyanyo bali sisi tumejikita kufunga matendo yetu maovu na kijikita kuomba toba na kusali sana huku ukiwa mtu wa kusaidia wengine wasiojiwezi ndio wakristo wengi mfungo wao upo hivyo...
  2. second kinggg

    Changamoto ya mfumo wa kutuma maombi ya ajira kwa nafasi za kazi za Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA))

    inakuwaje avijaze wakati sio vya lazima ni optional hapo pa kujaza ni qualification tu lkn pia hii system inafanya watu kukosa nafasi ya kuapply maana its too much kwakweli huyu server wao wanaomtumia sijui ARUTI poor na kwanini kila kipengele ikijsza lzm iroad kwanini isisubir umalize kujaza...
  3. second kinggg

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    pia jaribu kuweka ile "s" iwe kubwa
  4. second kinggg

    Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

    kuna hii shida hapa almost nusu saa sasa nahangaika jinsi ya kurudi kujaza taarifa za elimu ya chuo ila sipati pa kurudia mwenye uelewa nime stuck hapa
Back
Top Bottom