Unaandika barua ya maombi then unaipeleka inapigwa muhuri wa mkiti wa mtaa na hapo mkti hapigi muhuri mpaka uee na barua kutoks kwa mjumbe wako kuwa anakutambua then afisa mtendaji wa kiji afu na muhuri wa afisa mtendaj wa mtaa... hapo ndo uatoa copy vyeti vyako vyote bila kusahau living...
Pole sana kaka, aisee jaribu ulilonalo nikubwa mno.... Nimejiweka kwenye viatu vyako ila havinitoshi.
Kwanza pongezi nyingi kwa mpenzi wako aisee mana kama kweli harufu hiyo haistahimiliki hata kwa wapita njia cpati picha unayelala naye. Mm nimkatoliki na napenda nikupe tu faraja kuwa hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.