Recent content by Sebbo

  1. S

    Star Tv na Radio Free hii kweli ni siasa? Au mnataka kuingiza nchi vitani?

    Nashangaa kwanin wana habar wasikemee kudhalilishwa kwa taluuma hiyo? Maana star tv na radio free vinashusha hadhi na discipline ya habar na taluuma hiyo kwa ujumla.. I hate it japo mimi siyo ukawa lakini haina maana ata kidogo.. si dhani kama kna international media inaweza potoka kiasi hicho...
  2. S

    Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

    Hili taifa haliwezi kuongozwa na mganga wa kienyeji. Japo hiki nikipindi ambacho tutasikia mengi.
  3. S

    Ni dakika 5 za Lowassa

    Labda niulize swali la changamoto kwann Lowassa amekua agenda kbwa kwa ccm?? Kwann wasi nadi Ilani yao? Kwanin wasieleze dhamira yao yaktmikia wananchi? Nauliza maana wanatmia nguvu kbwa kmnadi Lowassa kupitia vijana wao kmtusi,kuandamana, waigizaji kumiigiza, midahalo kjadili Lowassa tuu...
  4. S

    Hatma ya kura za walimu kwa mgombea urais wa tarehe 25 Oktoba, 2015

    Ok walimu musijadili tuu masilahi yenu embu tutazame mfumo wa elimu wa nchi yetu.... kweli utatuvusha???
  5. S

    Wanachuo wa St. Joseph Arusha wafunga barabara

    Juma tatu tarehe18th 08 2014 Wanafunzi wa chuo kikuu cha stjoseph arusha campuswafunga barabara ya ARUSHA-SINGIDA-MWANzA kwa takiribani saa mojana nusu wakitaka majibu ya serikali kuhusu chuo chao ktokua na mtahahalawakfndishia na muongozo(prospectus). chuo hakina serikari ya wanafunzi...
Back
Top Bottom