Recent content by sebastian theobald urassa

  1. S

    Nape amezuiwa, ujumbe umewafikia

    Hapa hakuna vita ya dawa za kulevya, bali kuna visa na visasi ingalikuwa ni vita ya dawa hizo kweli, bidhaa hizo sisingalikuwa sokoni hata sasa. Fanya utafiti kidogo tu, wahoji baadhi ya mateja,(chondechonde usije tumia akili za pombe, hakika watakumeaga ubongo.)utabaini kuwa bidhaa hizo zipo...
  2. S

    Saga la Makonda: My Take

    Cheleachelea utamkuta meana sio wako!kutumbuliwa kwake kupo palepale .hapa ni suala la muda tu,siku sio nyingi atarudia yale ditopile mzuzuri aliyo yatenda. Hapo kila mmoja atatafuta pakutokea sio yeye wala bwana wake watakao kuwasalama.
  3. S

    Rais Magufuli apigilia msumari jeneza la wauza Dawa za Kulevya, asema si kazi ya Makonda pekee

    Huu ni wendawazimu ju wehu Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
  4. S

    Tundu Lissu: Kuwataja Vidagaa na kuwaacha Nyangumi/papa si ajabu ni moja kati ya mambo ya hovyo

    Je ikiwa makond ni muhusika , jina lake atalipeleka kwa nani? Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom