Hapa hakuna vita ya dawa za kulevya, bali kuna visa na visasi ingalikuwa ni vita ya dawa hizo kweli, bidhaa hizo sisingalikuwa sokoni hata sasa. Fanya utafiti kidogo tu, wahoji baadhi ya mateja,(chondechonde usije tumia akili za pombe, hakika watakumeaga ubongo.)utabaini kuwa bidhaa hizo zipo...
Cheleachelea utamkuta meana sio wako!kutumbuliwa kwake kupo palepale .hapa ni suala la muda tu,siku sio nyingi atarudia yale ditopile mzuzuri aliyo yatenda. Hapo kila mmoja atatafuta pakutokea sio yeye wala bwana wake watakao kuwasalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.