Recent content by Seattle2024

  1. S

    Nawezaje kwenda Marekani?

    Kwanza uwe na barua ya mwaliko. Status yako hapo Tanzania, shughuli unayofanya. Ukienda utakua n Pesa kiai gani, Kwa ajili y matumizi.. Utafikia kwa nani, Utakaa muda gani, Nani atabeba gharama zako Ukiwa kule. Hakuna short cut ya kupewa visa bila interview. Ukipata visa, ndipo unakata ticket...
  2. S

    Waafrika tumerogwa, ni kwamba hatuna hata nchi moja inayoweza kuwa mfano katika sura ya dunia kwamba na sisi tunaweza?

    Africa tuna Ethiopia na Tanzania. Hawa wanafanya shughuli zao za maendeleo bila kutegemea Msada wa wazungu...
  3. S

    Mwalimu na Mwanafunzi sio poa!

    Mpango wa Mungu uko Sawa na hauna shida.. shida ipo kwetu sisi binadamu. Wewe ni kijana mdogo, ama binti mdogo. Unayaparamia Mapenzi Kaba ya wakati. Utaachaje kuwa na Ex kibao.....? Unaonjwa onjwa tu, kijana anachovya chovya tu. Ex hakwepeki. Tulia mpaka muda sahihi, Mungu atakupa wa kufanana nawe.
  4. S

    Hivi huko Marekani hawana misosi mingine zaidi ya mikate na jamii ya vyakula vya ngano?

    Kila Aina ya chakula ipo... Ni wewe tu. Ukikuta wenyeji, uliza super.market za African food. Unga wa Ugali upo, magimbi, maboga, parachichi, ushindwe mwenyewe.. Hat ukienda hotel, kuna vyakula vya ukanda wowote wa Dunia hii.
  5. S

    Wazazi mlio na watoto vyuoni shtukeni

    Ufumbuzi wake hapa ni nini....?
  6. S

    Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

    Nakuunga mkono kwa asilimia zote. Endelea hivyo hivyo... Unawekeza kwa watoto, utakuja kuona Faida yake baadaye....
  7. S

    Mimi baba wa watoto watatu ratiba yangu ya asubuhi na jioni

    Namna hii, unashindwa kuweka bond na watoto... bond na familia yako inapotea.
  8. S

    Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Pole sana kiongozi... Tunakuombea, Bwana Akuhurumie, maumivu yapungue na upone, ili maisha yaendelee, Vipi Hali ya dereva....?
  9. S

    Ifike kipindi mabinti na wamama mpunguze ubinafsi, tumewachoka

    Wanaume wa Sasa, wanakwepa sana majukumu, ndo maana hata wanaona Kama Wanawake Wana take cover. Baba simama kama baba. Timiza majukumu yako. Ukiamua kusema mke naye achange, ndo mwanzo wa kugawa madaraka, jambo ambalo hamlipendi. Tumika ktk majukum yako baba.... Na Kusema watoto wataegemea kwa...
  10. S

    Nimekuwa mgeni nyumbani kwangu. Nakosa uhuru kabisa

    Fukuza pepo la tamaa. Uzinifu ni Dhambi inayoleta Madhara makubwa na kwa muda mrefu.... mthamini huyo binti kama binti yako kabisa.... Omba Mungu akuepushie na wazo LA kumtafuna..... Ova.
  11. S

    Unahisi kifo chako kitasababishwa na nini?

    Kujitamkia kunafaa .. Yuko sawa...
  12. S

    Tukuyu, Rungwe Mbeya wilaya ya kipekee sijaona Tanzania

    Hatujakimbia, pamoja na kiwa niko Seattle Washington, home ni Mwakaleli Tukuyu. Last time nilikuwa huko June 2022. Tumetoka ili Kuja kutafuta then tunarudi home kuwekeza... Home sweet home..
Back
Top Bottom