Recent content by Searching for the truth

  1. S

    JamiiForums Tanzania Kwa maamuzi haya ya Rais Trump bila shaka Hayati Magufuli alikuwa mbele ya muda

    Pesa za ndani ambazo zimefichwa na viongozi waafrica huko nje ya Africa, zinazidi hadi bajeti zetu za ndani kwa mwaka. Na mzungu siyo Fala akukopeshe pesa yake, anacho fanya ni pesa zile zile ambazo viongozi waafrica wanaficha nje, wao wanazirudisha kuzikopesha nchi nchi hizo za Africa tena kwa...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

    Sasa ni sawa na 250,000/= kule DRC ? Maana unasema dolar 100 na dolar 300 ni yale yale tu.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

    Kwa hiyo dolar 100 ni sawa sawa na dolar 200 au 300 ? Kwanza hakuna mwanajeshi wa tanzania eliyevaa combati anae lipwa chini ya laki 8 kwa sasa.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

    Hizo zilikuwa taarifa za awali/dodoso,lakini taarifa za uhakika zimekuja 2 to 3 days later. Huyo mwanajeshi mwenye bendera ya rwanda kwenye combat yake unae mwona hapo hayuko kwenye ardhi ya DRC, bali hapo ni mpakani ambao wanakaguliwa kuingia Rwanda. The same na wale mamluki wa Romania 300...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

    1.Walio jisalimisha siyo wote, kuna wanajeshi bado wanaendelea kupambana pale pale Goma, na kwenye vita ukizidiwa na alafu mabosi went hawafanyi chochote kuokoa maishani yenu ni sawa tu kwenda kwa adui aokoe maisha yako. 2.Adui waliyejisalimisha siyo kwenye jeshi la Rwanda kama unavyosema, wale...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanajeshi wa jeshi DRC wameamua kuasi?

    Hakuna jeshi la DRC limejisalimisha kwa jeshi la rwanda Acha kupotosha watu. Walio jisalimisha wamejisalimisha kwa waasi wa M 23 siyo kwa jeshi la RWANDA. Hakuna ushahidi wa moja kwa moja unaoonesha jeshi la rwanda linapigana mashariki mwa DRC. Taarifa rasmi zilizopo ni kwamba RWANDA Inaunga...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Bara la Afrika linatoa malighafi gani za maana?

    Duniani kwa sasa kuna rasilimali kubwa 3 tu ambazo zinategemewa sana duniani, yaani muhimu kama ilivyo mahitaji mahitaji matatu ya binadamu (maji,chakula na malazi). Rasilimali hizo ni GOD . 1. G - stands for GOLD (Dhahabu) 2. O - stands for OIL (mafuta) & 3. D -stands for DIAMOND (Almasi)...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyopata ajira baada ya kusoma online course kwa saa sita tu

    Ok asante mkuu. Pale kwenye digital una maanisha ni soft copy kama hiyo yako au
  9. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyopata ajira baada ya kusoma online course kwa saa sita tu

    Ok. Kwa kifupi kwenye NGO'S ndiyo vinaweza pata soko zaidi una maamisha. Sawa mkuu nimekuelewa. Ngoja na mimi nifanye mpango wa kusoma
  10. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyopata ajira baada ya kusoma online course kwa saa sita tu

    Hard copy inagharimu kama dolar ngapi mkuu
  11. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyopata ajira baada ya kusoma online course kwa saa sita tu

    Na kinakuwa valid kabisa kwa taifa letu
  12. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyopata ajira baada ya kusoma online course kwa saa sita tu

    Hizo online courses huwa mnatukiwa vyeti pia au
  13. S

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

    Hata kwa hesabu tu ya kipofu jambo lako haliwezekani. Fananisha uchumi wa South Africa na Rwanda alafu uone nani anaweza kugharamia vita kwa mda mrefu na kumiliki zana za kisasa za vita. Angalia population ya South Africa ni zaidi ya milioni 80 alafu population ya rwanda ni ni almost milioni...
Back
Top Bottom