Recent content by SE-CHANDO

  1. S

    JamiiForums Tanzania Upofu wa Jeshi la Polisi juu ya bodaboda

    hatujafundishwa hivi mkuu
  2. S

    JamiiForums Tanzania Upofu wa Jeshi la Polisi juu ya bodaboda

    uongo upi mkuu
  3. S

    JamiiForums Tanzania Upofu wa Jeshi la Polisi juu ya bodaboda

    Usafiri wa boda boda ni moja ya usafiri pendwa sana katika nchi yetu, Pia ni moja ya njia ya usafirishaji inayokuwa kwa kasi sana katika nchi yetu. Hebu angalia hapa kitakwimu tu, kutoka mwaka jana ,2022/2023 mpaka kufikia mwezi machi zilikuwa zimetumika karibia Dola milioni 139 sawa na Pesa...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wa soko la SIMU2000 wagoma asubuhi hii, Oktoba 19, 2023

    Baada ya kutokea sintofahamu hali ni kama ilivyo hivi sasa === Wafanyabiashara wa Soko la Simu 2000 lililopo Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Dar es Salaam mapema Leo, Alhamisi Oktoba 19, 2023 wameandamana sambamba na kufunga Barabara wakishinikiza Mamlaka za Serikali kuwapatia taarifa...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Kama ni kweli stendi ya Simu 2000 kubadilishwa matumizi na kuwa karakana ya DART ni kuwakosea wana Ubungo

    Hizi habari za kusikitisha na kuumiza sana kwa wakazi Ubungo, Nilivyosikia ni kuwa Stand ya Simu2000 inataka kubadilishwa matumizi na kuwa KARAKANA YA DART, Kama habari hii ni yaukweli basi niswala lakusikitisha na kuwakosea wanaubungo. Kubadilisha Matumizi ya stand hii na Soko ni muendelezo...
Back
Top Bottom