Recent content by Scrappers

  1. Scrappers

    GE2020 Prof. Lipumba: Kura sio siri tena

    Bila shaka kitufe kina namba inayoendana na karatasi uliyopewa,Je namba ya kitambulisho inayonakilishwa kwenye kitufe kinachobaki kwenye kitabu cha karatasi za mpiga kura si ushahidi tosha iwapo kutakuwepo na sababu ya kujua nani kampigia nani?.Ila sema zoezi la kufanya uhakiki ni gumu sana.
  2. Scrappers

    GE2020 Kawe, Dar: Kura feki zanaswa, Wananchi wazichoma moto!

    Ukikaa na hizi kura kuna uwezekano wa kubadilishiwa kibano na kushitakiwa kwa kuhujumu uchaguzi.
  3. Scrappers

    GE2020 Robert Amsterdam amuandikia barua Rais Magufuli siku 5 kabla ya Uchaguzi

    Hizi barua anaziandika Lissu mwenyewe alafu Amsterdam anatia saini.
  4. Scrappers

    GE2020 NEC yaongeza muda wa kuwaapisha mawakala wa vyama vya siasa kwenye uchaguzi mkuu hadi tarehe 23 Octoba 2020

    Naomba kuuliza, nimekutana na wakala wa chama cha upinzani anatoka kuapishwa lakini hawakupatiwa nakala ya kiapo. Je, hii imekaaje? je, nakala ya kiapo haikutakiwa kutolewa kwa wakala mla kiapo? Naomba nijuzwe tafadhali.
  5. Scrappers

    GE2020 Kwanini wagombea wa CHADEMA ndio wanaongoza kwa kukiuka maadili ya uchaguzi? Ni malezi mabovu ndani ya chama au?

    Mara nyingi japokuwa sio wote wamama hupenda kuwaadhibu watoto wa kambo hata kama mama akiambiwa kosa kafanya mtoto wake wa kumzaa.
  6. Scrappers

    GE2020 Vijijini mwamko ni mkubwa mno katika mikutano ya Tundu Lissu

    Huyu aliyekaa kimya anawakilisha walio wengi kwenye jamii na ndio wana hatima ya uchaguzi wa 28 oktoba.
  7. Scrappers

    GE2020 Lissu: Mawakala wasiporuhusiwa, kura zisipigwe

    Utaratibu huu ukikamilika na kufanyika kwa adabu haina shida,uwezekano wa tume kupitiwa kutoa vituo vya mawakala ni mkubwa kama walivyosahau kuwakumbusha wasimamizi wa uchaguzi kutoa barua za rufaa kwa wabunge na madiwani walioshinda rufaa.
Back
Top Bottom