1. Nenda kwa kushtukiza kwa mchumba wako,
2. Kagua simu yake...
3. Tafuta sababu ya kugombana naye kivyovyote
4. Ugomvi ukitokea iwe sabab ya kumwacha wala usimwambie chochote kuhusu mwenye mimba
5. Baki na mwenye mimba
Usijiue,
tambua kwamba kwenye hii dunia hakuna kinachoganda yaan kila kitu huwa kina pita hata hzo hisia ulizo nazo sasa zitapta n suala la muda tu.
Kama ulivyosema wachaw wana kuandama bas tambua wanataka ujiue ili wakakutumikishe.
Mshirikishe Muumba wako akupe aman ya moyo wako kila kitu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.