Baraza la Vijana la Chadema BAVICHA limesema kila mwaka mfumo wa elimu ya Tanzania wa kuanzia darasa la kwanza mpaka kidato cha nne peke yake unazalisha wajinga waliosoma takribani 800,000 kwenye soko la ajira.
Hii ni hatari kwa taifa linaloendelea kama Tanzania. Endelea kujisomea mwenyewe hapo...
Kimsingi Waislamu wenzetu hawana logic. Kwa nini kama Wakristu waliamua kuchinja wanyama woa kwa matumizi yao theni wakavamiwa na hata mchungaji kuuwawa. Kwa nini Wailsmau walivamia hata yale mabucha yaliyotengwa na Wakristo? Kuna kitu zaidi ya dini hapa kimefichika and we need to find out!
Tatizo kubwa ni Serikali kuendeshwa kwa VIONJO kama wanafalsafa wanavyosema. Matukio ndio msingi wa serikali ya CCM ni sio kufikiri kwa umakini na kuichambua misingi yake mikuu ambayo ni katiba ya nchi. Tusipoangalia Tutaingia shimoni muda si mrefu kama taifa!
Naomba niseme wazi kuwa yaliyotokea Geita kati ya Waislamu na Wakristu kuhusu suala la kuchinja wanyama ni matokeo ya uzembe wa serikali ya kutokuwa na uwezo wa kuweka kumbukumbu sawa. UDHAIFU
Waziri Wasira aliropoka kuwa wenye haki ya kuchinja ni Waislamu na Waziri Mkuu Pinda karudia tena kuwa...
Bhati mbaya sana sijawahi kuuona huu waraka. Alini kumbukumbu zangu pia zinalandana na zako hasa pale CCM na serikali yake ilioona waraka wa Kanisa Katoliki kwa waaumini wake mwaka 2010 ni shubiri na kuanza kulizonga kanisa na ni kweli Pale Mwanza Kadinali Pengo alimpa makavu rais Kikwete na...
Huo sio utaratibu wa viongozi wa kikatoliki.
Kahamishwa kwa sababu kulionekana hitaji sehemu nyingine tofauti na Dar es salaam na yeye akaonekana nafaa huko. Hayo unayoysema ni maneno ya kuokoteza vichochoroni
Na wala asisimame kwa sasa kama unavyotaka kwani takapofavya hivyo wataangamia wengi wasio hata na hatia kwa biashara haramu ya udini. Bora awe mwafidhina hivyo hivyo kwa sasa. Hali itakuwa mbaya sana kama hili dhehebu mwamba la kikristo lenye mizizi mapaka serikalini litatoka kwa staili...
Wadau,
Kesi ilifunguliwa na wanachama wa CCM kupinga matokeo ya ubunge wa Meashaki Opulukwa wa jimbo la Meatu kupitia CHADEMA iliamuliwa na kumpa ushindi Meashaki Opulukwa kati kati ya mwaka jana.
Kama ilivyo kawaida, wanachama wa CCM wa huko Meatu walikata rufaa na rufaa hiyo inatarajiwa...
Kwa mwenendo wa matukio ya mkutano mkuu wa CCM mwezi uliopita, ni haki kauli hii ikatendewa haki na CDM. Kupotoka kwa CCM kuwatumia watumishi wa umma kwenye mikutano yao ya hadhara, ni halali kwa kauli hii kutendewa haki kwa kufanya Homework vizuri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.