Recent content by SCENTE

  1. S

    Samwel Sitta: UKAWA wakivimba kichwa,bmk itaangalia uwezekano wa kubadirisha sheria ya theluthimbili

    Sitta hana busara ndio maana hata CCM hawawezi kumteua kugombea Uraisi.
  2. S

    Which countries in AFRICA have the best intelligence agencies?

    NEVIOT naomba source nijiridhishe.
  3. S

    Siri Nzito UKAWA: Kigogo CHADEMA atoboa ni shinikizo toka Ulaya afichua Mbowe kuwaponda CUF na NCCR

    Janja ya wanasiasa wenye njaa kuwa kinyume na wennzie ili aitwe apewe pesa. Nawashauuri mumpuuze na wala msimjibu ili aumbuke kwa kukosa suport ya media zenye akili. Abaki na gazeti la Uhuru, TBC na STAR TV.
  4. S

    Bravo! Abdul Kambaya(mwenezi CUF) kumjibu Makamba na hoja ya Vijana na Urais 2015 via start tv

    Hapa hoja ni Raisi kijana, si nani alikodi wauni wa kumuunga mkono zito. Wanasiasa wote wanahila.
  5. S

    Ukawa Kurudi Bungeni?

    CCM waende KIZOTA kuandika katiba mpya. Maana haya ni maigizo, kama walikuwa wanakatiba yao mpya kwa nini waliunda kamati ya Warioba na bunge la katiba? Wanafuja pesa bure. Kama ni maoni ya Chama si tayari walishayapeleka kny kamati? Mbona hata sisi maoni yetu hayapo kny rasimu? Lkn kamati...
Back
Top Bottom