Ngeleja anatangaza nia trh4 so mnatakiwa macho na masikio kwa kijana mwenzenu kwani ndio suluhisho la matatizo ya Watanzania wa sasa na kizazo kijacho.
Ngeleja habari ya mijini na vijijini,anafaa kuliongoza hili taifa na kulepeleka linapotakiwa kwa maendeleo,hao wanaomchafua ni hila zao tu ktk harakati za kisiasa.
Wewe kwako maisha magumu si kwa wafugaji ni vitu vya kawaida,twende na ngeleja ni tumaini jipya kwa Watanzania,ni kojana anayejielewa na kujitambua kuhusu mustakabali wa maisha ya wanchi.
Ngeleja ni tumaini jipya la watanzania,ni mkombozi wa Kanda ya Ziwa na Tanzania yote huyu kijana anafaa kuwa Rais wa nchi yetu ni mtu anayeweza kufafanua jambo na likaeleweka kwa watanzania.
Kwa mtazamo Ngeleja anatufaa ktk safari yetu,kwani ni kijana mwenye nguvu na ujasiri wa kutuletea maendeleo na aman bora ktk hili taifa la watu wanyonge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.