Recent content by sblandes

  1. sblandes

    Rostam Azizi press conference yako imepuuzwa, nobody is interested in it/discussing it

    Huwezi kumpuuza tajiri mkubwa mwenye mahusiano makubwa na serikali pammoja chama tawala. Mtu aliyewahi kuwa Mweka Hazina wa CCM,na Mbunge wa kuchaguliwa Igunga. Mtu ambaye vitega uchumi vyake ndani na nje ni vikubwa mno. Mtu mwenye ushawishi hata nchi kubwa za Magharibi. Polepole ni bwana mdogo...
  2. sblandes

    Israel launches new spy satellite with unique capabilities in the world

    Tekinologia ni ya kwake,ila aitumie vizuri kwa ustawishaji na maendeleo ya binadamu duniani Lakini shida kwake sio waarabu,shida ni ndugu yake tena wakaribu Iran. Iran anamuona Israel kama bwana mdogo aliyemkomboa kutoka utumwani Babylon. Ila ikija siku Iran na Israel wakapatana kama enzi za...
  3. sblandes

    GE2025 Prof. Kabudi: Samia ametimiza aliyoshindwa Mwalimu Nyerere

    Nadhani huna hoja,maendeleo sio hotuba ndefu zenye bashasha bali ni vitendo mwanana. Huyo Mama kaweka vitu ambavyo wanaume na ndevu zao walishindwa kutekeleza sababu ya umimi bila busara. Kaeni na ujinga huo. 4 years in power maamuzi sahihi yanazaliwa na kutekelezwa. Friendly Warning kwa Mama...
  4. sblandes

    Ninachoona kwenye Parade ya China Aisee! Kama taifa na bara tupo nyuma sana

    Wahindi walikuwa mbele ya China baada ya uhuru.Lakini India iliendekeza Uingereza kuitwa Sir,MBE,na utamaduni wa siasa za Magharibi. Vipaji hadimu vya kihindi vikakimbilia Canada,Uingereza, Marekani n.k.Kibaya zaidi wakaendekeza ubaguzi wa dini,koo n.k Wamekumbuka shuka asubuhi,wanashangaa...
  5. sblandes

    Naunga mkono kukataa misaada ya uchaguzi kutoka nje

    Nadhani kuna mitizamo tofauti.CCM ipo karibu zaidi na China kuliko Marekan na Ulaya Magharibi. Vipaumbele vya misaada kwa Tanzania kutoka China ni tofauti na Magharibi. Magharibi nao wana chagamoto nyingi huku wana Trump,huku kuna vita ya Ukraine, Huku wanatishiwa kutawaliwa na Urusi, huku wana...
  6. sblandes

    Watanzania wangekuwa na utambuzi, wangeelewa nchi iko katika mtafaruku mkubwa wa kutisha!

    Tanzania ipi anayozungumza? Tanzania imeishapitia vipindi vigumu kuliko haya maigizo ya mitandao. Kipindi cha kuhamisha mamilioni ya watu kwa nguvu kutoka vijiji vya asili na kupangwa kwenye vijiji vya ujamaa,bila huduma za msingi kama maji,chakula,malazi. Ya pili vita vya Kagera,baada ya vita...
  7. sblandes

    Kwa hiyo ndugu zangu Watanzania[mnajijua] mmeshabadilisha mawazo hayati hakufa kwa COVID-19? Si mlisema gonjwa limemuumbua ‘dikteta’?

    My friend open your eyes.Corana ilikuwepo au hapana? Kama ilikuwepo mikakati ya msingi ilikuwa kuvaa balakoa,Mkuu hakutaka. Lakini corona ilipata nguvu kama una maradhi mtambuka. Na iliondoa watu wengi bila kuzingatia kama upo kabwela,Rais,au mfanyabiashara. Tajiri.
  8. sblandes

    Gerson Msigwa: Serikali inajua kila kitu kinachoendelea. Yoyote anayefanya makosa anaweza kufikiwa

    Serikali ikiamua inaweza,angalia polisi mmoja akiibiwa jinsi polisi wanavyotumia nyenzo zao,muda mfupi mwizi ameishakamatwa na ushaidi.
  9. sblandes

    GE2025 Dkt. Bashiru ajitenga na Polepole, asema awamu ya 6 inafanya vizuri zaidi

    Bashiru yupo high table na vigogo wa nchi.Sio kwamba hawakufanya maadalizi ya mkutano,Bashiru aseme nini na wakati gani.Hiyo ndio CCM yenye protocol. CCM wana viapo vyao vya kutosaliti chama hata kama hawakubaliani.
  10. sblandes

    GE2025 Dkt. Slaa: Nimeshiriki kampeni nyingi lakini sijawahi kuona ninayoyaona safari hii. Vyama havitamki masuala ya muhimu

    Compare and contrast kwa lipi wakati Chadema imesusia? Dr Slaaa,Usubiri nje ya ulingo hadi pale....
  11. sblandes

    Tetesi: Huyu nae ni miongoni mwa kundi la wanamtandao hatari

    Kuna wakati simu ya kitochi ni salama kwa matumizi. Smart phones sio salama hata kwa mambo ya msingi.Mchina alishalikoroga Operating Systems yake Harmony
  12. sblandes

    Wapinzani wa Samia mna ugonjwa wa akili. Mtu mwenye akili timamu anawezaje kuaminishwa mtungi wa gesi asilia unauzwa chini ya dola 1 ?

    Mkuu kwanza ya LPG yaani Liquidfied Petroleum Gas anayotuuzia Rostam Aziz Taifa Gas inatoka nje. Tabia za gesi hiyo ni tofauti kabisa na LNG yaani Liquidfied Natural Gas. Itakuwa gharama kubwa sana kwa mtungi wa LNG,ukilinganisha na LPG. Mara nyingi kwa matumizi ya majumbani inatumika CNG ikiwa...
Back
Top Bottom