Mkuu huyu sio muumba,ana mapungufu mengi tu,pammoja kuwa na Phd hajaiva,is short sighted, is just a cadet,means a students Especially kwenye offshore oil exploration.
Tumsaidie kwanza ili asije kuleta maafa period.
Mkuu Mjomba Magu alikuwa anasema katoa.........,mko kimya,leo Mama yetu anatoa kamili plus mnakasirika?Acha unafiki.Mlikuwa mnasifu hata nonsense issues kama Madagascar drug pammoja na kuitwa profesa aliehitimu Germany. Tanzania ni wanafiki.
Mama Piga kazi tupo nawewe.
Haya yote tumemuachia Mungu.
Wapinzani wanapata zero kwenye kujaza fomu za kugombea uwenyekiti wa mitaa nchi nzima!!
Kama haitoshi Majibu ya Jaji Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi yanakumbusha minyororo ya utumwa,kutawaliwa na wakoloni na ukoloni mamboleo wa man eat man society.
Mjomba Magu...
Mkuu inapendeza kuona majumba yenye mvuto,lakini mara nyingi wakandarasi ni kubana matumizi hasa majengo ya taasisi za umma.
Mwalimu Nyerere alizungumzia Dodoma ni ghorofa nne tu,na kama kuna technology imekuja nayo iwekwe wazi ili wananchi wafahamishwe,kwani kwenye basement ya ghorofa ndefu...
Mpina naona unataka kunyanganywa jimbo ,si bora ujilipue kama Lyatonga Mrema alivyokimbilia upinzani NCR Mageuzi.
CCM hawasahau na ukiona wamekupa kalipio kibunge na si kupitia chief whip ujue your days as CCM MP are numberd.
Dodoma inapendeza hongera. Wakati inaanzishwa CDA miaka ya 70 mwanzoni ilikuwa majengo ya ghorofa yasizidi ghorofa nne kwa kuwa kuna viashilia vya tetemeko pia na water table ipo juu.
Japan yenye matetemeko mengi duniani inajenga hata ghorofa 100 LAKINI chini yake kuna Spring na spring hizo ni...
Nadhani Raisi ambaye ndio Jemedari Mkuu ndio mwenye maamuzi.
Kwa mfano kulikuwa na Kanali Abdallah Twalipo alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Ziwa Magharibi sasa inaitwa Kagera.
Mara tukasikia Kapandishwa VYEO kutoka Kanali kuwa Major General na kuhamishiwa makao makuu ya jeshi na kuwa CDF nafasi iliokuwa...
Mjomba Magufuli self discipline ilikuwa shida hata akatimuliwa seminary akiwa form 2.
Kuna mambo yalikuwa hayaitaji ugomvi ilitakiwa busara tu, hadi nchi kama Denmark ikafunga ubalozi.
Unagombana na Benki za Maendeleo na Taasisi zake zinazotoa .mikopo mikubwa yenye riba nafuu na grace period ya...
Kweli kikokoto hijicho ni dhihaka kwa mfanyakazi,ni wizi wa mchana.
Serikali ilipokosa pesa za kuendesha nchi ikachota kwenye mifuko ya akiba za wafanyakazi harafu ikashindwa kuirejesha ndio ikaja na mazingaombwe hayo.
Wabunge waliingizwa ku support kifo cha haki ya mfanyakazi.
Dawa ni kuwa...
Mkuu mfumo dume umechangia,walio wengi walidhani Mama Samia ni mtu wa kuendesha tu,hana lolote.Lakini pale alipoanza kuonyesha makali ya kistaarabu katika kubuni na kusimamia mfuko wa COVID,wenye riba karibu sifuri,ndio tukasikia mambo ya nchi imeuzwa wakati huko nyuma kimya kimya tulikuwa...
Nachojua Raisi hashitakiwi amewekewa kinga kuu.
Na haya mambo yakumfanya Raisi kama miungu, yanawezekana umungu mtu ukamjegea kuvunja sheria za nchi akajikuta ametengeneza maadui wengi.
Magufuli alikufa kwa ugonjwa ndio taarifa iliyotolewa na serikali yake aliokuwa anaiongoza.
Serikali...
Kosa lipo hakuna ajira,viwanda vikubwa 400 vya Raisi Mwalimu Nyerere vilivyokuwa vinaajiri maelfu kwa maelfu ya wananchi vilibinafsishwa na vikaaga dunia.
Siyo tu kuajiri lakini waajiriwa walipata mafunzo mbali mbali kupitia viwanda hivyo na kupata ujuzi katika fani mbali mbali.
Mtu anasoma...
Anaweza kuwa nazo hata sita,lakini tofauti ya kwao na kwetu,Nelson Mandela alipewa lundo ya degree hizo na wazungu wa Marekani na Ulaya lakini mara nyingi hazikutajwa kwenye Majina yake.
Uturuki ina historia ndefu sana tokea Constantinople hadi ikawa Istanbul ya Ottman Empire,
Ina wasomi wa...
Mkuu hizi chemical kama synthetic fertilizer yameua udogo na viambatanisho vyake kama microbes,zamani tulikuwa hatuhitaji dawa za kunyunyizia wadudu,sasa hakuna kinga ni chemical kutokea round up,mbegu yenyewe ina machemical,mbolea za kupandia nazo machemical,maji yana machemical,viatilifu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.