Search results

  1. sblandes

    Kampuni ya Magnis ya Australia yaitumia Graphite ya Ruangwa kupata bilioni 816

    Hiyo ni fact ila ukiangalia huo mradi ullikosa sharp and smart mind.
  2. sblandes

    Abdulrahman Kinana: Chaguzi za 2019 na 2020 zilileta hofu, Mwaka 2024 na 2025 zitakuwa za Huru na Haki

    Mheshimiwa askari Kinana mimi sina shida na kauli yako huo ni wajibu wala haitaki shukurani.Sisi tunataka iwepo sheria ya kuwepo uchaguzi ulio huru na haki bila mkono wa mtu kutumia cheo au wadhifa kufanya kinyume.Pia tumeshuhudia mtu wa kawaida sana anaapishwa kulinda na kutetea katiba lakini...
  3. sblandes

    Tetesi: Kuna mashaka Bandarini. Serikali itoe tamko ya kinachoendelea ili kama yanayoripotiwa ni tetesi yasilete taharuki

    Nadhani hata TPA yenyewe ipitie transformation. Watu ndio nguzo kuu ya Bandari zetu. DP atawatumia zaidi wafanyakazi wananchi LAKINI wenye vigezo vya utendaji uliotukuka,na si muda mrefu watafikia viwango vya DP World.Jambo muhimu Trade union ya wafanyakazi kukaa na menejimenti mpya kuangalia...
  4. sblandes

    Je, Makonda ni asset au liability kwa CCM?

    Makonda sio asset lakini ni tactician wa aina yake,survival skills zake zipo juu sana,usishangae kusikia kavaa viatu vya Majaliwa.
  5. sblandes

    Hatari ya kuongezeka kwa mawazo ya kijamaa, hatamu za kiuchumi kushikiliwa na serikali

    Yaani kiwanda kimmoja cha miwa kingeweza kuzalisha by produts zaidi ya 25 kingeingiza mapato mengi,ajira nyingi na bei ndogo sana ya zao la sukari.By product mmoja wapo maarufu ni ethanol inayochanganywa na petrol kuedeshea magari. Wakisikia Brazil antaka kupanda ndege kuja kuwekeza miwa Bongo...
  6. sblandes

    Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?

    Not good enough, the rate of deforestation ni kubwa mno.
  7. sblandes

    Hatari ya kuongezeka kwa mawazo ya kijamaa, hatamu za kiuchumi kushikiliwa na serikali

    Viwanda vyetu vimekosa ubunifu.vinazalisha sukari kama ndio zao kuu,lakini viwanda vya Brazil havitegemei sukari katika mapato,vina by products zaidi ya 25 na kufanya bei ya sukari kuwa chini sana. Hakuna haja ya kuendelea kuwabeba wavivu hao ni mzigo kwa taifa,haswa mtumiaji wa sukari. Ndio...
  8. sblandes

    Video: Je, ni kwanini Nape Nnauye alitaka bwawa la Nyerere lizuiwe, ni kweli anapenda sana mazingira?

    Issue ni deforestation miti isiopungua million mmoja eneo mmoja si haba. Hilo bwawa limejazwa na maji yaliotoka Dodoma na Singida,ukiongezea Iringa,Morogoro,Pwani n.k Madhara yakukata miti tunajua wala hakuna haja ya kurudia rudia.Kinachotakiwa kwa sasa ni kupanda mabilioni ya miti katika mikoa...
  9. sblandes

    Nimelia sana nilipofika bwawa la Mwalimu Nyerere, kwaheri mgawo wa umeme

    Umeweka mambo wazi,Julius Kambarage ni Lulu ikibidi tumpe heko.1973 Misri,Syria na Jordan walipambana na Israel vita iliojulikana kama Yom Kippur war. Mwisho wa vita hivyo Nchi za Kiarabu zilitumia umoja wa wazalisha mafuta OPEC kuwaadhibu wazungu,lakini walioadhirika zaidi ni nchi maskini haswa...
  10. sblandes

    Kichekesho juu ya kinachoitwa SGR nchini tumepigwa zaidi ya bilioni 500

    Korea Kusini,China wananyonga rushwa kubwa,ndio dawa. Unachagua/unateuwa watu wafanye kazi kwa mujibu wa sheria wao wanajikita kupora tu,utafikiri wamesomea wizi tu.
  11. sblandes

    Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

    T Tutaelekea huko very soon Mkuu. Enzi za AI (Artificial Intelligence) zimewasili.
  12. sblandes

    Hili la vituo vya mafuta maeneo ya makazi halikubaliki

    Sheria ya kujenga vituo vya mafuta na gesi zinasemaje? Hapa majanga kwanza yatokee ndipo utasikia MALAIKA WA TANZANIA WAKILAANI AU KUWAKAMATA WAMILIKI WA VITUO HIVYO. Utasikia tuna masterplan ya miji na majiji. Complete nonsense
  13. sblandes

    Lissu amuumbua Makonda sakata la kutaka kumtapeli nyumba ya GSM

    Kama habari hizo ni kweli basi kuna mushkheli katika CCM ngazi ya taifa,vinginevyo Makonda nae anajua madudu ya wakubwa hao,labda by comparison Makonda yake ni kiduchu!!!
  14. sblandes

    Waafrika uongozi umetushinda; huo ndo ukweli hatakama hatuupendi

    Umaslkini wa maono,umaskini wa kuvumiliana,umaskini wa kuwaona wapinzani ni adui,umaskini wa kila jambo ndio shida ya Afrika. Lakini inadaiwa waafrika wa zamani ya Mafarao wa Misri,Afrika ya Mansa Mussa wa Mali,Afrika ya Queen Sheba wa Ethiopia n.k ilikuwa juu ya Dunia kimaendeleo.Kwanini...
  15. sblandes

    Sababu za Umeme Kukatika ni Wizi wa Transfoma Dar & Pwani Zaibiwa zaidi ya 87

    Zijengewe nyumba,huko South Africa walikuwa na changamoto kama hiyo wakejenga warehouses kama mini substation.
  16. sblandes

    Baada ya vyama vya upinzani kushika dola Zimbabwe, Kenya, Malawi na Zambia, tunajifunza nini?

    Watu ni wale wale walianzia kwa mfano KANU ,wakalelewa nayo wakakuwa nayo.Tofauti ya vyama vipya (upinzani) Ni nani awe kiongozi au viongozi wa serikali. Lakini ni mapema mno kuzibeza serikali changa zitokonazo na vyama vya upinzani.wape chaguzi 4 mara miaka 5 yaani miaka 20.
  17. sblandes

    Aliyeapa kuhakikisha bwawa la Mwl Nyerere halifanyi kazi ni nani?

    Mkuu mbunge angeweka maelezo kamili,na maelezo kamili yanaendana takwimu kama kuna uzembe utabainika tu. Lakini kuna wasemaji wahusika wa mradi wahojiwe. Kama haitoshi waziri mwenye dhamana yupo sio Makamba damu ya kunguni ,Speaker amuweke kiti moto kigogo huyo na tujue kama mradi ni white...
  18. sblandes

    CHADEMA haiji kupata tena nguvu ya ushawishi kama iliyokuwa nayo kabla ya Uchaguzi wa 2015

    Upinzani ni ngumu sana kumshinda CCM kwa mazingira ya sasa,labda miaka 10 ijayo kama marekebisho ya katiba yatafanyika yasiopendelea upande wowote. Kumshinda CCM sio tu kupata Raisi kutokea upinzani bali kuwa na wabunge wengi kuliko CCM,kitu ambacho ni ndoto kwa sasa.
  19. sblandes

    Kipi kilichomvutia Rais Samia kumpa Biteko Unaibu Waziri Mkuu?

    Makonda kama kweli anakubarika kwao,kwanini alikimbilia kugombea ubunge Kigamboni? Watu kama Makonda wamepitwa na wakati,tena ni bora ale pensheni yake taratibu kwani wapo watu waliumizwa sana na mtu huyo
  20. sblandes

    Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

    Bora atulie nyumbani kwake aachane na siasa, alee wajukuu. Yaonekana wenye nchi wamemchoka,wakati ukuta.
Back
Top Bottom