Napia kama ilivyosema eti manesi hawalalamikk kisa mshahara mdogo zingatia pia kuna vikao, visemina na kazi ndogondogo za mashirika vinaingiza hela hivyo na kujikuta mtu hawazii sana mshahara
Jamani mleta post asiwapotoshe kwa kada ya afya mishahara yote inatolewa kwa scale iliyopo asikudanganye mtu eti kasoma maabara ana TGHS A atapokea mshahara mkubwa kuliko nurse wa diploma anayeanza akiwa na TGHS B au mwenye degree anayeanza C hiyo ni mishahara tofauti kwahyo mleta mada umeelewa...
Mimi nimepanga kuanziasha biashara ya mafuta ya kupikia alizeti nakuwa nalangua mashineni wanapokamua kisha niuze naomba unipatie mbinu zaidi ili niweze mamimi kusimama kwenye biashara hii na kuifurahia mr. Controla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.