Recent content by sbj cheka

  1. S

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Hii cabs instagram mbona hajapost bidhaa muda mrefu na haionyeshi kama anauza vijora vya pazia
  2. S

    Msaada: Nina 30,000 hapa, nahitaji kuanza biashara yoyote ile sasa hivi. Niko DSM

    Hivi hizo chupi za 1000 huwa mnazinunuaje bei ya jumla?
  3. S

    Tukutane hapa wapenda ujasiriamali

    Ikibidi hata mawasiliano yao utupatie nasisi tununue huko
  4. S

    Tukutane hapa wapenda ujasiriamali

    Na wewe unalanguaje ili uuze kwa hiyo buku? Tusaidie nasisi tuingie huko
  5. S

    Tukutane hapa wapenda ujasiriamali

    Pisi kali naomba kama una namba za wauza chupi jumla, pia wale wanaouza vitambaa vya kushona pazia
  6. S

    Kuku kuchi hawa ni original?

    Asante kwa ushauri
  7. S

    Kuku kuchi hawa ni original?

    Huyo mfugaji yuko wapi nichukue mayai nitotoleshe
  8. S

    Kuku kuchi hawa ni original?

    Habari yako, bado unafuga kuchi?
  9. S

    Kuku kuchi hawa ni original?

    Habari yako, bado unafuga kuchi?
  10. S

    Biashara gani naweza kufanya kwa mtaji wa laki nane katika mji wa Kahama?

    Mkuu hiyo biasahara ulifungulia kahama? Na ilikuwa sehemu gani
  11. S

    Wauguzi (Nurses) wanalipwa kidogo na wana amani na furaha

    Napia kama ilivyosema eti manesi hawalalamikk kisa mshahara mdogo zingatia pia kuna vikao, visemina na kazi ndogondogo za mashirika vinaingiza hela hivyo na kujikuta mtu hawazii sana mshahara
  12. S

    Wauguzi (Nurses) wanalipwa kidogo na wana amani na furaha

    Jamani mleta post asiwapotoshe kwa kada ya afya mishahara yote inatolewa kwa scale iliyopo asikudanganye mtu eti kasoma maabara ana TGHS A atapokea mshahara mkubwa kuliko nurse wa diploma anayeanza akiwa na TGHS B au mwenye degree anayeanza C hiyo ni mishahara tofauti kwahyo mleta mada umeelewa...
  13. S

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Sikupata kwenye huu uzi lkn kuna group moja ndo nilipatia huko
  14. S

    Hakikisha unafanya kwa ukubwa Biashara yako wakati unaanza

    Mimi nimepanga kuanziasha biashara ya mafuta ya kupikia alizeti nakuwa nalangua mashineni wanapokamua kisha niuze naomba unipatie mbinu zaidi ili niweze mamimi kusimama kwenye biashara hii na kuifurahia mr. Controla
Back
Top Bottom