Recent content by sayeir

  1. sayeir

    Kesi ya masheikh wa Uamsho vs Kesi ya Mauaji ya Lulu: Haki iko Mbinguni

    Mjomba kama makanisa yapo miaka mingi zanzibar mbona hayakuchomwa mbona hao mapadrii hawakuuliwa wapo wakiristo hadi kesho wanaabudu bila kufanyiwa hujuma, usiongee kitu usicho kijua, sasa kama magaidi mbona hawajawapa hukumu hadi leo wanapigwa danedane au umekua mahakama
  2. sayeir

    Msaada: Kwa mwenye ufahamu kuhusu tatizo hili

    pole sana brother kwa tatizo ulilonalo, ila nilitaka nikuulize tu je dozi uliopewa umetumia kwq muda gani?
  3. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Socratic debate tiririka mzee
  4. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Kijana hebu nijuze namie socratic method
  5. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Kilugha na kisheria
  6. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Nini maana ya sijida?
  7. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Nimependa hiyo hoja ya kifungu ningependa nikuulize kidogo mkui
  8. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    He mpaka vifungu vya qurani mnatuma kumbe nimeachwa sana
  9. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Deus ex machine usitegemee sana haya matheory kwasbb ni mawazo ya mtu tu hata ww unaweza kuanxisha idea yako na ikawa developed sasa ikawa kila idea unabeba na kuiamini mwisho wake ndo nyie mnaokuja kutwambia binaadam mwanzo alikua chimpanzees
  10. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Hivi mungu atujaaribu ili iweje wakat yy ndie ametupa uwezo wa kufanya hayo, brother kiranga ww kweli wa kuuliza swali hili, sasa mfano wa hoja yako inajibiwa na uhalisia wa maisha yetu, mwalimu anatufundisha darasani, tunaandika kwenye madaftar na vitabu tunapewa sasa kuna haja gani ya...
  11. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Brother mwisho wa maelexo yangu nimemalizia kwa kusema mungu anayafanya yote haya ili kututia mtihani ana tujaribu, lkn wacha kutujaribu wakat mwengine anayafanya haya ili kutukumbusha kama mutarejea kwangu lkn wakt mwengine anafanya haya ili kutuadhibu kwq kuacha matakwa yake ili turejee ktk...
  12. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Brother mwisho wa maelezo nilimalizia kwa kusema mungu anayafanys yote haya ili kutu
  13. sayeir

    Nahitaji uchawi wa kununua

    Unataka wa miti shamba au wa mwiba wa samaki
  14. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Brother kiranga inaonekana hutaoa
  15. sayeir

    Je! Mungu ni yule yule?

    Kiranga kikawaida mmiliki wa kitu ana uhuru nacho katika kukituma na kukiendesha mtengenezaji wa cm gari, na hata nyumba anao uwezo wa kuibomoa na kuipondaponda atakavyo kwasbb yy ndie mmiliki na ndie aliekiunda kitu hicho, hivyo sasa mungu ndie alie umba vyote vilivyomo ulimwenguni ana haki ya...
Back
Top Bottom