kote nimepita,mama john,ihindini,mafiati,mbeya pazuri,pia nimeingia mwailubi,soweto hasa hapa ndio walinichomea nyama kibabilon,uyole,nzovwe,nikaenda mbali zaidi hadi kule rungwe,ushirika kwa mzee Alex Kapulya,nilipoendelea mbele kama vile naenda kasumulu nikakunja kushoto eti wanasema...