Mnaoishi tabata angalieni hapo baada ya stend ya Muslim kabla hajafika oil com kuna ofisi ya serikali ya mtaa imejengwa sehemu ya barabara, inahitaji nyundo
Ikiwa atashindwa kuivunja hali ya kuwa imevunja sheria ktk ujenzi wake!, lukuvi atakuwa ameshindwa kazi labda kuwe kuna kifungu cha sheria kinachoruhusu hilo kwa nyumba za ibada, kama vile ambavyo nitamuona ameshindwa kazi akishindwa kuwavunjia wooote waliojenga mabondeni na sehemu nyingine...
Huyo swahiba wako inaonyesha si muislam kaamua kuupaka matope tu, au hajui chochote kuhusu uislam, yeye amekuwa muislam kwa jina lake au karithi kwa wazazi wake,!!, uislam ni dini ya elimu watu wanalazimishwa kusoma!!, angesoma japo kidogo tyu!!, uislam asinge kunywa konyagi wala nguruwe, pia...
Mengi yaliyoelezwa kuhusu watu wakimya ni kweli, huwa wanaumakini mkubwa ktk maamuzi, pia hawapendi kutangulizwa mbele ktk kuwasimamia watu, huwaheshimu hata wasiowajua bila kujali rika zao, na........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.