Ebu muulize rafiki yako hivi. Mtoto akikua mkubwa,Inshallah, atamueleza babake yu wapi?
La pili...akihitimu miaka ya usoni, hatahisi upweke sana?
Mnisamehe kiswahili changu. I am here to learn.
Hamjambo,
Mie mgeni kwa hili Jukwaa lenu JF.
Nilifurahia your stay upande wetu wa KT na vile nimepata habari kwamba JF imerejea nikaamua kujiunga nanyi kwa muda ili nipate kujua mengi kuhusu nchi jirani.
Basi naomba msinifurushe mbio.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.