Recent content by Sauti za Wananchi

  1. Sauti za Wananchi

    Twaweza na Wadau wa AZAKI wakutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari kueneza uelewa wa Marekebisho ya Sheria 8 yaliyopelekwa Bungeni kwa dharura

    Ikiwa ni siku kadhaa tangu Asasi za Kiraia nchini kama sehemu ya wadau katika kuchangia mabadiliko ya sera na sheria mbalimbali kupokea mapendekezo ya marekebisho ya sheria nane tofauti (mapendekezo hayo yalifikishwa kwa Kamati ya Bunge ya katiba na Sheria kwa hati ya dharura), Twaweza...
  2. Sauti za Wananchi

    UBAKWAJI WA TELEZA: Polisi huwaachia watuhumiwa bila kutoa sababu za msingi

    Teleza ni jina linalomaanisha aina ya ubakaji unaotokea ndani ya kata ya Mwanga Kusini katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Jina hili lilitokana na kwamba, wakati wa usiku kuna wanaume wamekuwa wakiingia kwenye nyumba wanazoishi wanawake na kuwabaka. Watu hawa kabla ya kufika kwa...
  3. Sauti za Wananchi

    UBAKWAJI WA TELEZA: Sifa Kuu za Wabakaji wa Teleza

    Teleza ni jina linalomaanisha aina ya ubakaji unaotokea ndani ya kata ya Mwanga Kusini katika Halmashauri ya Kigoma Ujiji Mkoani Kigoma. Jina hili lilitokana na kwamba, wakati wa usiku kuna wanaume wamekuwa wakiingia kwenye nyumba wanazoishi wanawake na kuwabaka. Watu hawa kabla ya kufika kwa...
Back
Top Bottom