kwa tasimini ya hala naona changamoto ni nyingi kuliko faida,asilimia kubwa ya mshahara utautumia kulipia kodi ya nyumba,umeme na usafili,,,,,na huwezi kujiendeleza kiulahisi coz pesa inatuka tabu,.,...,.,.,...walimu kimbilieni mikoani mkatumie fulsa ndo mje mjini kujiendeza:wave: