Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida Rashid Mandoa anatumiwa na Lazaro Nyalandu kuhujumu wananchi wa Singida Kaskazini, Imebainika
Lazaro Nyalandu akiwa Mbunge na Baada ya kujiuzulu ubunge na kuhamia Chadema ameendelea kumtumia mkurugenzi huyo kuhakikisha ajenda yake ya kupeleka...
Majibu ya utafiti yatakuwa mabaya. Watu wanatema Povu sana. Nyarandu hakubaliki kama mnavyofikiria. Hawezi kuongeza chochote Chadema. Zaidi Chadema inajipaka matope ya Nyarandu hivyo Chadema inachukiwa.
Kichwa cha Habari chahusika. Kuelekea uchaguzi mdogo Jimbo la Singida kaskazini CHADEMA imetuma Team ya watu 6 kwenda kufanya utafiti kama wataweza kulinyakua Jimbo hilo mkoani Singida.
Watu hao wameonekana Ilongero. Mtinko. Singida kaskazini hasa Kwenye vijiwe vyenye watu wengi. Wakiwa...
UKWELI KUHUSU MGOGORO WA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI WILAYA YA SINGIDA
(a) UTANGULIZI
Kwa Takriban kipindi cha wiki Tatu kumekuwa na vuguvugu la mgogoro kuhusu makao makuu ya Halmashauri ya wilaya ya Singida (Ilongero), mgogoro huu unahusu hasa wapi yajengwe makao makuu ya wilaya ya Singida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.