Shekh...leo kwako unaona km ni usumbufu,lakini ikikutokea wewe na ukawa na uhitaji wa footage km msaada wa mwisho,ndo utajua waloweka huo utaratibu c wajinga..’
Ngoja nikupe scenario moja:
Kuna Dogo aliiba kadi ya sistæ ake...akaenda kwa Atm kutoa mzigo,kabla ya kutoa mzigo alihakikisha kaziba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.