Mkuu,ivi ulimwelewa Rais au umesoma Kifaransa? Pale hakulazimishwa ndo maana rais kasema Bakhresa ndani ya siku 5 akubaliane na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji
Mkuu,bado unawaza kusoma ili usjiliwe tu? Utakufa njaa mjini, chukua hatua. Swala la kupata kazi serikalini huwa lipo lakini lisitufanye tubweteke na kuisubiri serikali ituajili. Ushauri ni kwamba,unapongoja ajira unayosema,usikae tu na kusubiri. Piga kazi ukiendelea kutafuta kazi,japo unaweza...
Tunao jitambua tunapiga kazi ajira baadae na si kukaa na kuisubiri. Kama pesa zinapotea kiasi hicho,kwa nini usijiulize kuwa viwanda vitajengwaje? Muda huu unapinga taarifa za kupotea kwa pesa kana kwamba hutaki ijulikane,unajitambua kweli wewe?
Chanzo fake hutoa habari fake,yaani umrona tukio ns umeshindwa kudadisi ukweli ni upi? Au kwa kuwa unajua kuwa katenda kosa kweli ndo umeamua kujifanya hujui sababu ya kukamatwa. Futa povu hilo mdomoni mkuu then uje na habari kamili.
Hata kwa marehemu Wangwe walisema hivyohivyo wakati akina a.k.a walipinga na kupuuza mawazo kuntu slokuwa akitoa ndani ya chama. Lakini kwa mstaafu huyu anahaki ya kumtakia RIP
Tafiti zote huwa na bias kwani hapo utasikia,wamehojiwa watu wa riks flani,mkoa flani,ns mengine kama hayo. Hiyo pekee huwa ni bias ya mtafiti. Unategemea matokeo gani kama leo hii mtafiti aamue kufanya utafiti wake na respondent wake wawe wazee wa vijijini?, wawe wazee wa Chato? Wazee wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.