IGP WAMBURA, sisi wakazi wa mtaa wa Isere Kinondoni tunaleta malalamiko yetu kwako yahusuyo vijana wa kihuni kufanya maskani za kuvuta bangi na unga kwenye mtaa wetu.
Vijana hawa Wala siyo wakazi wa nyumba hizi, hushinda maaneo haya kutwa nzima mbaya zaidi Kuna watoto wadogo wameanza kuwauzia...
Kwa mfano hilo lingekuwa kanisa watoto wanafundishwa mazingira mabovu je DC Magoti angelifunga? Je wakristo wangelalamika?Hata kama DC kakosea sawa lakini uongozi wa msikiti ulitakiwa ukamilishe miundombinu kabla ya masomo kuanza.Lililofanyika ni jambo jema Kwa hata wazazi wa watoto wamejua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.