Hujui kuwa pass mark yao iko juu zaidi halafu wao wenyewe hawjiandai vizuri wakat mwingine wanasoma ili mradi kusoma tu hawaangalii hata syllabus inataka nini na kusoma kwenyewe wanasoma past paper na wala sio kuelewa somo husika
Hello all
nafurahi kusoma maoni yenu lakini kumbukeni kuwa tumeambiwa katika vitabu vitakatifu kuwa hakika kila nafsi itaonja mauti . kwa vyovyote vile kufa ni kufa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.