Dickson Ng'hily
JF-Expert Member
- Oct 22, 2010
- 451
- 485
swala ni kwamba weng hamfahamu kuhusu Efatha shule hiyo tumeinunua mwaka jana shutuma hizo apewe aliye tuuzia alaf kitu kingine kuweni na nidhamu juu ya hich chombo cha Efatha na Mtume Mwingira matokeo ya hiyo shule ni mwakan ndo mtaongea
Hata kama mmeinunua, inamaana mlishindwa kutia bidii ili walimu wafundishe watoto ipasavyo kama mlivyotia bidii kudai ada za watoto mpaka wengine kutishiwa kufukuzwa shule!Kwa nini mliangalia sana input kwa maana ya income kuliko output kwa maana ya mafunzo stadi!...Afu kufaulu kwa wanafunzi ndo kunauza jina la shule na hivyo kuendelea kupata wanafunzi wengi na income kuongezeka. Sasa kaka unasema tusubili mwakani huoni kwamba matokeo haya tayari yasharudisha nyuma jina la shule na kuna uwezekano wazazi wakaamisha watoto wao (labda kwa wale amabao ni washirika wa EFATA ndo wanawezakuwabakisha) na ama msipate wanafunzi mliokuwa mmekusudia kuwapata wa kidato cha kwanza na wale wanao hamia!