Makosa unayaona wewe usiye penda maendeleo ya Nchi
1. Miradi yote iliyoachwa na mtangulizi yake anaendeleza yote
2. Miradi mipya ameanzisha
3. Pato kutokana na utalii limeanza kuongezeka kwa kasi
4. Nyongeza ya mishahara
5. Demokrasia imefunguka
6. Kwa kifupi anaupiga mwingi
Serikali acha ivikarabati . Kwani wanaoingia uwanjani kushuhudia michezo ni watanzania wote pasipo ubaguzi kivyama . Rai ni kuwa vyama vyote vitakapo hitaji kuvitumia viwanja hivyo kwa mikutano ya kisiasa visinyimwe , kwani hata Wana CCM wengine huhudhuria
Tena uwazi wa aina hiyo ni wa kuigwa , maana upigaji kura kila mtu anakuona , kutumbukiza kura sandukuni bila kukunjwa na sanduku unaloweka kura linajulikana wapigaji kura wake wote
Leo nimeshinda ndani tu kumbe napitwa na mambo mengi ya kidunia . Mnijuze tafadhali kipindi cha kampeni kimefika nikasikililize sera ili nipate mwanga wa kuchagua kiongozi anifaae maana mimi sio muumini wa chama bali ni uwezo wa mgombea kunishawishi . Ndiyo maana katika sanduku la kura naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.