Zanzibar 2020 Hotuba ya Dkt. Hussein Mwinyi kisiwani Pemba (Julai 19, 2020): Yajayo yanafurahisha

Naona gari za msafara ni nyingi kuliko hao wakaazi wenyewe.

M Sorry!!!!!!!! Ni wale watumishi wa umma kumbe
 
Muungano lazima usimamiwe kwa nguvu zote weka tofauti za kisiasa pembeni.hapo ndo nakosana na upinzani nikisikia hoja zao kuhusu muungano. Sisi n wamoja. Mtuheshimu.
 
wa stendi,
Hii pia ndefu:

SIASA ZA PEMBA NA MUUJIZA UNAOJITOKEZA NA KUPOTEA

"Binadamu tunapenda muujiza kwa kuwa inarahishisha kufikiri.

Kwanza nataka kukutoa hofu juu yangu ili nikufahamishe kuwa mimi hupenda kuukubali ukweli unapodhihiri na hii ndiyo sifa inayomnyanyua binadamu yeyote yule akathaminika achilia mbali wale wanojiita wasomi.

Ukisikiliza kile ukipendacho ukaukataa ukweli heshima ya usomi wako itakwenda chini.

Nimeangalia ‘’clip’’ ya mapokezi makubwa aliyopata Dr. Hussein Mwinyi Pemba.

Niliyoyaona kwenye clip ni tofauti ya hali ya Pemba kama tunavyosikia.

Hali ya Pemba hivi sasa ni kuwa tunaelezwa na wananchi wa Pemba wenywe kuwa wananyimwa vitambulisho ili wasipige kura.

Nani anawanyima Wapemba vitambulisho na kwa sababu gani?

Ipo clip hapa ya tatizo hili mimi kwa kurahisisha utambulisho nimeipa jina "Ngoma za Vita Zinapashwa Moto Huu ni wakati wa Masheikh wa Zanzibar Kuzungumza."

Ukisikiliza ‘’clip’’ hii moyo utaingia hofu ya hayo yanayoweza kutokea.

Haya yanafahamika hayahitaji maelezo zaidi.

Miezi michache iliyopita tumeona CUF ilivyokufa Zanzibar kwa dakika moja au ukipenda nukta moja katika "Shusha Tanga Pandisha Tanga Safari Iendelee..."

Wimbi hili nimetafuta mfano wake pengine duniani sijaona.

Maalim kahama na wanachama wote na ofisi zao mitaani kwa dakika moja na kuzigeuza ofisi zote kuwa zambarau.

Wanachama, ofisi zao na bendera ndiyo "symbols" za nguvu ya chama.

Chama kikiwa hakina vitu hivi kama viaashiria basi jua hapo hakuna chama.

Katika hali kama hii sijaona juhudi za CCM kukijenga chama chao Pemba au hata Unguja au kusikia hotuba za kuwavutia wale waliokuwa wanawapinga kuvutika kuwaunga mkono, ila nilichosoma ni taarifa kuwa Dr. Mwinyi apokelewe na yaorodheshwe majina ya watakaotoka kumpokea.

Huu ni ujumbe kutoka serikalini.

Hiki ni kichekesho.

Haiwezekani kujenga chama chochote kwa namna hii au kuhamasisha wanachama kwa mtindo huu.

Chama hakijengeki kwa vitisho vya "roll call," chama kinajengwa kwa mapenzi na ari ya wanachama wenyewe.

Lakini hapa ndipo ulipo muujiza wenyewe.

Dr. Hussein Mwinyi kapata mapokezi makubwa Pemba kama ‘’clip’’ inavyoonyesha.

Binadamu tunapenda miujiza kwa kuwa huhitaji kufikiri sana kujua kwa nini kishowezekana kimewezekana.

Nayasema haya nikitazama historia ya TANU vipi watu masikini na wasio na elimu walivyounda TANU kikawa chama kikubwa cha kupigiwa mfano Afrika nzima.

Chini ya mwaka mmoja TANU na Nyerere wakawa wanafahamika Tanganyika nzima na wananchi wanakiunga mkono chama.

Wanachama wakitoa nyumba zao kufanya ofisi za TANU.

Walifanya haya kwa ari na mapenzi sio kwa vitisho.

Hebu tuangalia hali ya leo mapokezi ya Dr. Hussein Mwinyi.

Muujiza gani umefanyika kuwaleta wananchi wa Pemba ngome ya ACT Wazalendo kujitokeza kwa wingi kiasi hiki?

Ni hii hofu ya jina kutoonekama katika daftari la mahudhurio au ni mapenzi ya dhati kwa Rais ‘’Mtarajiwa?’’

Au ni silka ya binadamu ile "cunning, wily people," watu walio na uwezo mkubwa wa ghilba na kulaghai.

Nasema haya kwa sababu CCM Pemba haijaweza kupata kiti hata kimoja katika miaka yote ya uchaguzi kutokea 1995.

Sasa cha kujiuliza ni hao washangiliaji wametokea wapi?

Kuna kitabu "The Ugly American," ni ‘’novel’’ na ‘’movie’’ kuhusu watu wa Mashariki ya Mbali katika tabia zao za ujanja wa kujifanya wajinga na wewe ukaamini kuwa ni wajinga kumbe ile ni mtego wao wanatega wanapokutana na adui.

Yawezekana tuliyoshuhudia ni katika sura mbili za Pemba?

Ikiwa yapo yaliyofanywa na CCM Pemba kupata wanachama na kuungwa mkono mimi yamenipita ningependa sana kujifunza kutoka kwenu kwani miujiza haifanyiki tena siku hizi.

Kila cha kustaajabisha lazima tukieleze kisayansi."
Daa. Mkuu una machungu sana nimekuelewa vema kwa maana hiyo wa zanzibar kuna upande fulani wanalazimishwa kuuegemea
 
Hao wana CCM wote mmewatoa Dar Es Salaam na Zanzibar na Tanga, mmewapa posho, hoteli na ticket za boat bure (Kwenda na Kurudi) ili muaminishe umma mnakubalika. Na walipofika bandarini Pemba wakakutana na usafiri wa coaster unawasubiri.

CCM punguzeni basi hata kidogo kujinunua wenyewe na kupanga matukio.
 
wa stendi,
Hii pia ndefu:

SIASA ZA PEMBA NA MUUJIZA UNAOJITOKEZA NA KUPOTEA

"Binadamu tunapenda muujiza kwa kuwa inarahishisha kufikiri.

Kwanza nataka kukutoa hofu juu yangu ili nikufahamishe kuwa mimi hupenda kuukubali ukweli unapodhihiri na hii ndiyo sifa inayomnyanyua binadamu yeyote yule akathaminika achilia mbali wale wanojiita wasomi.

Ukisikiliza kile ukipendacho ukaukataa ukweli heshima ya usomi wako itakwenda chini.

Nimeangalia ‘’clip’’ ya mapokezi makubwa aliyopata Dr. Hussein Mwinyi Pemba.

Niliyoyaona kwenye clip ni tofauti ya hali ya Pemba kama tunavyosikia.

Hali ya Pemba hivi sasa ni kuwa tunaelezwa na wananchi wa Pemba wenywe kuwa wananyimwa vitambulisho ili wasipige kura.

Nani anawanyima Wapemba vitambulisho na kwa sababu gani?

Ipo clip hapa ya tatizo hili mimi kwa kurahisisha utambulisho nimeipa jina "Ngoma za Vita Zinapashwa Moto Huu ni wakati wa Masheikh wa Zanzibar Kuzungumza."

Ukisikiliza ‘’clip’’ hii moyo utaingia hofu ya hayo yanayoweza kutokea.

Haya yanafahamika hayahitaji maelezo zaidi.

Miezi michache iliyopita tumeona CUF ilivyokufa Zanzibar kwa dakika moja au ukipenda nukta moja katika "Shusha Tanga Pandisha Tanga Safari Iendelee..."

Wimbi hili nimetafuta mfano wake pengine duniani sijaona.

Maalim kahama na wanachama wote na ofisi zao mitaani kwa dakika moja na kuzigeuza ofisi zote kuwa zambarau.

Wanachama, ofisi zao na bendera ndiyo "symbols" za nguvu ya chama.

Chama kikiwa hakina vitu hivi kama viaashiria basi jua hapo hakuna chama.

Katika hali kama hii sijaona juhudi za CCM kukijenga chama chao Pemba au hata Unguja au kusikia hotuba za kuwavutia wale waliokuwa wanawapinga kuvutika kuwaunga mkono, ila nilichosoma ni taarifa kuwa Dr. Mwinyi apokelewe na yaorodheshwe majina ya watakaotoka kumpokea.

Huu ni ujumbe kutoka serikalini.

Hiki ni kichekesho.

Haiwezekani kujenga chama chochote kwa namna hii au kuhamasisha wanachama kwa mtindo huu.

Chama hakijengeki kwa vitisho vya "roll call," chama kinajengwa kwa mapenzi na ari ya wanachama wenyewe.

Lakini hapa ndipo ulipo muujiza wenyewe.

Dr. Hussein Mwinyi kapata mapokezi makubwa Pemba kama ‘’clip’’ inavyoonyesha.

Binadamu tunapenda miujiza kwa kuwa huhitaji kufikiri sana kujua kwa nini kishowezekana kimewezekana.

Nayasema haya nikitazama historia ya TANU vipi watu masikini na wasio na elimu walivyounda TANU kikawa chama kikubwa cha kupigiwa mfano Afrika nzima.

Chini ya mwaka mmoja TANU na Nyerere wakawa wanafahamika Tanganyika nzima na wananchi wanakiunga mkono chama.

Wanachama wakitoa nyumba zao kufanya ofisi za TANU.

Walifanya haya kwa ari na mapenzi sio kwa vitisho.

Hebu tuangalia hali ya leo mapokezi ya Dr. Hussein Mwinyi.

Muujiza gani umefanyika kuwaleta wananchi wa Pemba ngome ya ACT Wazalendo kujitokeza kwa wingi kiasi hiki?

Ni hii hofu ya jina kutoonekama katika daftari la mahudhurio au ni mapenzi ya dhati kwa Rais ‘’Mtarajiwa?’’

Au ni silka ya binadamu ile "cunning, wily people," watu walio na uwezo mkubwa wa ghilba na kulaghai.

Nasema haya kwa sababu CCM Pemba haijaweza kupata kiti hata kimoja katika miaka yote ya uchaguzi kutokea 1995.

Sasa cha kujiuliza ni hao washangiliaji wametokea wapi?

Kuna kitabu "The Ugly American," ni ‘’novel’’ na ‘’movie’’ kuhusu watu wa Mashariki ya Mbali katika tabia zao za ujanja wa kujifanya wajinga na wewe ukaamini kuwa ni wajinga kumbe ile ni mtego wao wanatega wanapokutana na adui.

Yawezekana tuliyoshuhudia ni katika sura mbili za Pemba?

Ikiwa yapo yaliyofanywa na CCM Pemba kupata wanachama na kuungwa mkono mimi yamenipita ningependa sana kujifunza kutoka kwenu kwani miujiza haifanyiki tena siku hizi.

Kila cha kustaajabisha lazima tukieleze kisayansi."
Acha hizo wewe kila zama na kitabu chake. Wa pemba wanajua haki zao, mmezoea kuwajengea imani kwamba wanabaguliwa na serikali ili muendelee kuwatumia. Safari ni maendeleo hakuna siasa tena.Dr.Mwinyi ni mtaalamu wa Afya ya binadamu ni mwanasayansi, hana longolongo.Waliozoea kuwatumia kisiasa wale wana digrii za siasa na propaganda utendaji kwao ni ZERO. ZAnzibar inakwenda Kupaa kiuchumi.Stay tuned
 
Acha hizo wewe kila zama na kitabu chake. Wa pemba wanajua haki zao, mmezoea kuwajengea imani kwamba wanabaguliwa na serikali ili muendelee kuwatumia. Safari ni maendeleo hakuna siasa tena.Dr.Mwinyi ni mtaalamu wa Afya ya binadamu ni mwanasayansi, hana longolongo.Waliozoea kuwatumia kisiasa wale wana digrii za siasa na propaganda utendaji kwao ni ZERO. ZAnzibar inakwenda Kupaa kiuchumi.Stay tuned
Lu...
Hayo uyatakayo wewe ndiyo dua za wengi.
 
Leo nimeshinda ndani tu kumbe napitwa na mambo mengi ya kidunia . Mnijuze tafadhali kipindi cha kampeni kimefika nikasikililize sera ili nipate mwanga wa kuchagua kiongozi anifaae maana mimi sio muumini wa chama bali ni uwezo wa mgombea kunishawishi . Ndiyo maana katika sanduku la kura naweza kumpa Urais mgombea wa chama A , Ubunge wa chama B na Udiwani wa chama C
 
KWA NINI DR HUSSEIN MWINYI AMEPATA MAPOKEZI MAKUBWA PEMBA, AMEVUNJA REKODI

Fuatana nami Joseph Yona

Baada ya kushuhudia Mafuriko Ya mapokezi makubwa ya kumpokea mgombea urais wa CCM huko visiwani Pemba, ilibidi nijiulize why?
Nikawatafuta marafiki zangu waishio kisiwani Pemba na Unguja.

MAJIBU KW NINI MAPOKEZI MAKUBWA PEMBA

Sababu walizozitoa ni tatu:

Moja: Kitendo Cha Malim Seif tokea Miaka ya 1995 kuwadanganya Wapemba kuwa angeapishwa kuwa Rais wa Zanzibar, na amekuwa akisisitiza na akifanya ziara za kimataifa na kitaifa akihubiri uongo wa kuapishwa Lakini Mpaka leo wapi? Tena mbaya zaidi kahamia chama cha Kigoma na kukiacha chama cha asili yake ya Pemba CUF. So apemba wamesema kuwa na Rais muongo ni hatari kwa taifa, wameapa kumuadhibu Malim Seif na kura nyingi za ndio kwa Dkt. Hussein Mwinyi.

Pili: Wapemba wamesema wameitikia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli kuwa sasa Wapemba wapiganie maendeleo yao waache kudanganywa kwa kichaka cha Upemba, wamesema sasa ni Dkt Hussein Mwinyi.

Tatu: Wapemba wamesema wameitikia pia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Joseph Pombe Magufuli kuwa Wapemba na waunguja wasimchagulie Shikamoo, ili akiwa anaenda visiwani humo kupeleka maendeleo asianze na shikamoo. Wapemba wasema Dkt Hussein Mwinyi atosha.

FB_IMG_1595217535446.jpg
FB_IMG_1595217541129.jpg
FB_IMG_1595217556863.jpg
FB_IMG_1595217545646.jpg
IMG-20200720-WA0054.jpg
 
Yakhe sanduku la kura tume huru na ya haki ni refa mzuri, tunataka tume ya uchaguzi itende haki kwa kumrejesha haraka Jecha atusaidie kuipa ushindi sisiem tusijeangukia pua bure ala ala mti na macho, ajidhaniae kasimama aangali asianguke, mdharau mwiba mguu huota tende! huyu Mwinyi ni mwepesi kama sufi kwa mkongwe wa siasa za majahazi Maalim sababu Mwinyi ni mgeni na si mzaliwa wala si mkaazi wa Zenjibari na ana kamba mguuni!! siku ya kura wazenji watasema acha tulipigie kura zimwi tulijualo, Maalim Seif , yakhe huyu Hussein wala hatumjui sie ati!! kwanza kaletwa na nani huku nae tumjambie kama huyu!!!

Hawa jamaa wazenji ni hatari mno wana desturi ya kufanya mambo wasiyotamka, historia ya kufanya mapinduzi si ya kupuuzwa yatakiwa sisiem tupeleke jeshi zima kwenda kumtetea Hussein ambae ni takrima au TOKEN kapewa baba yake na wakubwa wa nchi maskini ya bongo!! Ukitaka kujua kama jamaa ni debe tupu , mfano asingekuwa mtoto wa Mzee Ruksa na tufute matokeo kisha jamaa akaitwa Dr Hussein Makame Faki, je wazenji na wabara wangemchagua? Wazenji nawajua ni wanafki mno nimeishi nao nyumbani na kazini, nawajua vizuri hata kama hawakutaki hawakwambii moja kwa moja ila actions zao zitakwambia uondoke kwao haraka sababu utajua mwenyewe kuwa unawamalizia mapembe!!!

balaa kubwa itakufika kama wakina mama wao wakikuchekea na kushoboka kwako mtu mjanja msomi toka bara basi waume wote Zenjibari nzima wivu utawakaba na watafura hao!! na ikibidi watakwambia jamaa ondoka sasa rudi kwenu watumalizia mapembe, kwanza machogo nyie wote makafiri!!

hizi nyuzi za kutunza sana tusije shangaa shamra shamra zote hizi za kijani halafu wale wabaguzi wakafanya yao wakapiga kura wabunge wote na Rais wa Zenjibari mpya ya zambarau wakatoka ACT!! Wazenji iko wazi kabisa kuwa wametupita machogo katika uelewa wa maana na thamani ya kupiga kura!!hasa wapemba wote ni wapinga muungano na ni magaidi aina ya ‘nationalists’!!!

Hussein Mwinyi si chaguo la Wazanzibari na wanamchukia sana moyoni machoni wazenjibari kama watu wanacheka nae na kula nae kwa bashasha, mbele yake watamwimbia nyimbo na mapambio zilizojaa nderemo na vifijo ila wakienda chobingo wash room watu wazima wazee wanalia machozi kama maji mfano ni wajumbe waliokuwepo Dodoma walivyolia machozi kila mmoja ndoo mbili baada ya kushindwa kutimiza viapo vyao vya Kisiwandui kuwa tunaenda Dodoma na tutahakikisha Shamsi anarudi kidedea!! wakaangukia pua, wakawa wanacheka mchana ukumbini usiku wanalia vyumbani hotelini!!! wakasema ama kwa hakika yule kafiri Nyerere ni kiboko!! katuuza utumwani kwa machogo wenzake mchana kweupe!! mpaka hivi sasa bado wazenji wamlilia Karume!!! wanajiuliza nani kahusika na ile assassination!

kusema ukweli wazenjibari wote mioyo yao iko kwa Shamsi Vuai Nahodha wamezaliwa nae wameishi nae wamejambiana nae , nasi watu wa bara ni lazima tuendelee kujifanya hamnazo na kuwalazimisha wazenjibari kwa maneno na virungu kumkubali Hussein kibabe kwa maslahi ya machogo wa bara.

Nimefanya kazi Zenjibari miezi sita; napajua , nikakimbia, ni watu wabaguzi mno! Sidhani kama hawa wapokeaji wa mgombea urais Hussein ni Wapemba, mbona wengi ni weusi?

pole mno Bwana Hussein, watambagua mwanzo mwisho na kwa kutumia rungu alilopewa kwa hasira ya kubaguliwa atatawala kwa mabavu!

Ni lazima Hussein awe Karl Peters (mkono wa damu) ili kutawala wazenji kibabe ,si kuwaongoza maana hataweza watu wenyewe hawampendi na hawamkubali sababu yeye ni mgeni kwao, ni mzanzibara, hawamjui kabisa na hata hawajawahi kuishi nae na kujambiana nae huko Jambiani na Mfereji wa wima. Trust me watakuwa wakimtenga na kumteta!

Nyie endeleeni tu na hizi propaganda!
 
Acha propaganda, kuna barua humu imesambaa ikiwataka watumishi wa serekali wafike na wavae nguo kijani, wasipovaa mnawatimua kazi ona hao polis kwenye picha yako wakishiriki upokeaji.
 
Joyo...

SIASA ZA PEMBA NA MUUJIZA UNAOJITOKEZA NA KUPOTEA

Binadamu tunapenda muujiza kwa kuwa inarahishisha kufikiri.

Kwanza nataka kukutoa hofu juu yangu ili nikufahamishe kuwa mimi hupenda kuukubali ukweli unapodhihiri na hii ndiyo sifa inayomnyanyua binadamu yeyote yule akathaminika achilia mbali wale wanojiita wasomi.

Ukisikiliza kile ukipendacho ukaukataa ukweli heshima ya usomi wako itakwenda chini.

Nimeangalia ‘’clip’’ ya mapokezi makubwa aliyopata Dr. Hussein Mwinyi Pemba.

Niliyoyaona kwenye "clip" ni tofauti ya hali ya Pemba kama tunavyosikia.

Hali ya Pemba hivi sasa ni kuwa tunaelezwa na wananchi wa Pemba wenyewe kuwa wananyimwa vitambulisho ili wasipige kura.

Nani anawanyima Wapemba vitambulisho na kwa sababu gani?

Ipo "clip" hapa ya tatizo hili mimi kwa kurahisisha utambulisho nimeipa jina "Ngoma za Vita Zinapashwa Moto Huu ni wakati wa Masheikh wa Zanzibar Kuzungumza."

Ukisikiliza ‘’clip’’ hii moyo utaingia hofu ya hayo yanayoweza kutokea.

Haya yanafahamika hayahitaji maelezo zaidi.

Miezi michache iliyopita tumeona CUF ilivyokufa Zanzibar kwa dakika moja au ukipenda nukta moja katika "Shusha Tanga Pandisha Tanga Safari Iendelee..."

Wimbi hili nimetafuta mfano wake pengine duniani sijaona.

Maalim kahama na wanachama wote na ofisi zao mitaani kwa dakika moja na kuzigeuza ofisi zote kuwa zambarau.

Wanachama, ofisi zao na bendera ndiyo "symbols" za nguvu ya chama.

Chama kikiwa hakina vitu hivi kama viaashiria basi jua hapo hakuna chama.

Katika hali kama hii sijaona juhudi za CCM kukijenga chama chao Pemba au hata Unguja au kusikia hotuba za kuwavutia wale waliokuwa wanawapinga kuvutika kuwaunga mkono, ila nilichosoma ni taarifa kuwa Dr. Mwinyi apokelewe na yaorodheshwe majina ya watakaotoka kumpokea.

Huu ni ujumbe kutoka serikalini.

Hiki ni kichekesho.

Haiwezekani kujenga chama chochote kwa namna hii au kuhamasisha wanachama kwa mtindo huu.

Chama hakijengeki kwa vitisho vya "roll call," chama kinajengwa kwa mapenzi na ari ya wanachama wenyewe.

Lakini hapa ndipo ulipo muujiza wenyewe.

Dr. Hussein Mwinyi kapata mapokezi makubwa Pemba kama ‘’clip’’ inavyoonyesha.

Binadamu tunapenda miujiza kwa kuwa huhitaji kufikiri sana kujua kwa nini kishowezekana kimewezekana.

Nayasema haya nikitazama historia ya TANU vipi watu masikini na wasio na elimu walivyounda TANU kikawa chama kikubwa cha kupigiwa mfano Afrika nzima.

Chini ya mwaka mmoja TANU na Nyerere wakawa wanafahamika Tanganyika nzima na wananchi wanakiunga mkono chama.

Wanachama wakitoa nyumba zao kufanya ofisi za TANU.

Walifanya haya kwa ari na mapenzi sio kwa vitisho.

Hebu tuangalie hali ya leo mapokezi ya Dr. Hussein Mwinyi.

Muujiza gani umefanyika kuwaleta wananchi wa Pemba ngome ya ACT Wazalendo kujitokeza kwa wingi kiasi hiki?

Ni hii hofu ya jina kutoonekama katika daftari la mahudhurio au ni mapenzi ya dhati kwa "Rais Mtarajiwa?’’

Au ni silka ya binadamu ile "cunning, wily people," watu walio na uwezo mkubwa wa ghilba na kulaghai.

Nasema haya kwa sababu CCM Pemba haijaweza kupata kiti hata kimoja katika miaka yote ya uchaguzi kutokea 1995.

Sasa cha kujiuliza ni hao washangiliaji wametokea wapi?

Kuna kitabu "The Ugly American," ni ‘’novel’’ na ‘’movie’’ kuhusu watu wa Mashariki ya Mbali katika tabia zao za ujanja wa kujifanya wajinga na wewe ukaamini kuwa ni wajinga kumbe ile ni mtego wao wanatega wanapokutana na adui.

Yawezekana tuliyoshuhudia ni katika sura mbili za Pemba?

Ikiwa yapo yaliyofanywa na CCM Pemba kupata wanachama na kuungwa mkono mimi yamenipita ningependa sana kujifunza kutoka kwenu kwani miujiza haifanyiki tena siku hizi.

Kila cha kustaajabisha lazima tukieleze kisayansi.
 
Maalimu Seif aungane na Zitto kulima mawese Kigoma au na Membe kulima korosho Ndora.
 
Utopolo mtupu pembA gain yenye ccm hivyo?

Unaijua pembA au unaisikia?

Sehemu yenye nyumba 500 utapata nyumba 30 ndio zona ccm tena ni watumishi waumma WA vyeovya juu kiasi pamoja na ndugu na família yake. Mji mmoja WA kiuyu wenye nyumba zaidi ya 1500 hupati nyumba 100 za ccm. Halafu unawawashwawashwa tu. Kura kule mpige za wizi Halafu mfinye masanduku myapeleke kwa kunyemelea ndio mpate angalau robô ya Kura za pembA.
 
Uchaguzi huanzj wakati wa kuhesabu kura na humalizika wakati wa kutangaza matokeo- Kinana

Kampen hadi upigaji kura ni mbwembwe tu


Acha propaganda,kuna barua humu imesambaa ikiwataka watumishi wa serekali wafike na wavae nguo kijani ,wasipovaa mnawatimua kazi ona hao polis kwenye picha yako wakishiriki upokeaji
 
Uchaguzi huanzj wakati wa kuhesabu kura na humalizika wakati wa kutangaza matokeo- Kinana
Inategemea na tume, kama ile ya jecha ni kinyume chake, eti mwenyekiti wa tume na yeye kachukua fomu ya kugombea.
 
Joyo...
SIASA ZA PEMBA NA MUUJIZA UNAOJITOKEZA NA KUPOTEA

Binadamu tunapenda muujiza kwa kuwa inarahishisha kufikiri.

Kwanza nataka kukutoa hofu juu yangu ili nikufahamishe kuwa mimi hupenda kuukubali ukweli unapodhihiri na hii ndiyo sifa inayomnyanyua binadamu yeyote yule akathaminika achilia mbali wale wanojiita wasomi.

Ukisikiliza kile ukipendacho ukaukataa ukweli heshima ya usomi wako itakwenda chini.

Nimeangalia ‘’clip’’ ya mapokezi makubwa aliyopata Dr. Hussein Mwinyi Pemba.

Niliyoyaona kwenye "clip" ni tofauti ya hali ya Pemba kama tunavyosikia.

Hali ya Pemba hivi sasa ni kuwa tunaelezwa na wananchi wa Pemba wenyewe kuwa wananyimwa vitambulisho ili wasipige kura.

Nani anawanyima Wapemba vitambulisho na kwa sababu gani?

Ipo "clip" hapa ya tatizo hili mimi kwa kurahisisha utambulisho nimeipa jina "Ngoma za Vita Zinapashwa Moto Huu ni wakati wa Masheikh wa Zanzibar Kuzungumza."

Ukisikiliza ‘’clip’’ hii moyo utaingia hofu ya hayo yanayoweza kutokea.

Haya yanafahamika hayahitaji maelezo zaidi.

Miezi michache iliyopita tumeona CUF ilivyokufa Zanzibar kwa dakika moja au ukipenda nukta moja katika "Shusha Tanga Pandisha Tanga Safari Iendelee..."

Wimbi hili nimetafuta mfano wake pengine duniani sijaona.

Maalim kahama na wanachama wote na ofisi zao mitaani kwa dakika moja na kuzigeuza ofisi zote kuwa zambarau.

Wanachama, ofisi zao na bendera ndiyo "symbols" za nguvu ya chama.

Chama kikiwa hakina vitu hivi kama viaashiria basi jua hapo hakuna chama.

Katika hali kama hii sijaona juhudi za CCM kukijenga chama chao Pemba au hata Unguja au kusikia hotuba za kuwavutia wale waliokuwa wanawapinga kuvutika kuwaunga mkono, ila nilichosoma ni taarifa kuwa Dr. Mwinyi apokelewe na yaorodheshwe majina ya watakaotoka kumpokea.

Huu ni ujumbe kutoka serikalini.

Hiki ni kichekesho.

Haiwezekani kujenga chama chochote kwa namna hii au kuhamasisha wanachama kwa mtindo huu.

Chama hakijengeki kwa vitisho vya "roll call," chama kinajengwa kwa mapenzi na ari ya wanachama wenyewe.

Lakini hapa ndipo ulipo muujiza wenyewe.

Dr. Hussein Mwinyi kapata mapokezi makubwa Pemba kama ‘’clip’’ inavyoonyesha.

Binadamu tunapenda miujiza kwa kuwa huhitaji kufikiri sana kujua kwa nini kishowezekana kimewezekana.

Nayasema haya nikitazama historia ya TANU vipi watu masikini na wasio na elimu walivyounda TANU kikawa chama kikubwa cha kupigiwa mfano Afrika nzima.

Chini ya mwaka mmoja TANU na Nyerere wakawa wanafahamika Tanganyika nzima na wananchi wanakiunga mkono chama.

Wanachama wakitoa nyumba zao kufanya ofisi za TANU.

Walifanya haya kwa ari na mapenzi sio kwa vitisho.

Hebu tuangalie hali ya leo mapokezi ya Dr. Hussein Mwinyi.

Muujiza gani umefanyika kuwaleta wananchi wa Pemba ngome ya ACT Wazalendo kujitokeza kwa wingi kiasi hiki?

Ni hii hofu ya jina kutoonekama katika daftari la mahudhurio au ni mapenzi ya dhati kwa "Rais Mtarajiwa?’’

Au ni silka ya binadamu ile "cunning, wily people," watu walio na uwezo mkubwa wa ghilba na kulaghai.

Nasema haya kwa sababu CCM Pemba haijaweza kupata kiti hata kimoja katika miaka yote ya uchaguzi kutokea 1995.

Sasa cha kujiuliza ni hao washangiliaji wametokea wapi?

Kuna kitabu "The Ugly American," ni ‘’novel’’ na ‘’movie’’ kuhusu watu wa Mashariki ya Mbali katika tabia zao za ujanja wa kujifanya wajinga na wewe ukaamini kuwa ni wajinga kumbe ile ni mtego wao wanatega wanapokutana na adui.

Yawezekana tuliyoshuhudia ni katika sura mbili za Pemba?

Ikiwa yapo yaliyofanywa na CCM Pemba kupata wanachama na kuungwa mkono mimi yamenipita ningependa sana kujifunza kutoka kwenu kwani miujiza haifanyiki tena siku hizi.

Kila cha kustaajabisha lazima tukieleze kisayansi.
Nimekuelewa sana mkuu ubarikiwe kwa uchambuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom