Unapopewa taarifa ili ulete humu unapaswa ujiulize maswali muhimu yafuatayo;
1.Huyo Johari anayelalamika kulazimishwa penzi ana sura gani hasa ya kuvutia?
2.Johari amekuwa akichanganya mambo ya kitaalamu na siasa.
3 Johari ana stress kubwa ya kutapeliwa fedha na taasisi fulani ya fedha ambayo...
Manager Tanesco Kanda ya Kilimanjaro naona kazi imekushinda sana.Line ya umeme katika Kijiji cha Lyamungo sinde ipo chini kiasi ambacho hata mtoto wa chekechea anaweza kugusa nyaya hizo akiwa amesimama.Sijajua tatizo ni nn kwani hadi leo kuna nguzo zimelala takribani miaka 4 bila marekebisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.