Recent content by Saoka

  1. Saoka

    Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia

    Acha kuropoka mzee mitungi napigia Home
  2. Saoka

    Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia

    Changamoto ni hiyo sikuweka msosi wakutosha kabisa
  3. Saoka

    Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia

    Kabisa yaani nalazimisha chakula lakni hakishuki zaidi ya maji tu
  4. Saoka

    Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia

    Wakuu habari, Pombe inanitesa toka juzi nilichanganya pombe kali,na Mabia yani nipo kitandani tu hapa sielewi kichwa kina mawenge ndoto za ajabu ajabu, Wazoefu mtupe mbinu jamani nini chakufanya kurudi kwenye hali ya kawaida NATAMANI NIACHANE NAYO KABISA HII KITU NATESEKA MNO SIKU YA 3 LEO...
  5. Saoka

    Kuvaa kitu kipya kikiwa na label yake ni ushamba au fashion??

    Wadau nisaidieni hili Hivi kuvaa raba na haka kalebo ka plastic ni ushamba au ndo fashion yake Wataalam wa fashion tupeni uzoefu wenu
  6. Saoka

    Hali ya kua na mawazo baada ya kufanya ngono

    Hii hali inatesa sana aisee
  7. Saoka

    Pombe inaharibu maisha yangu nisaidieni

    Huyu atakuwa mtendaji
Back
Top Bottom