Kuchagua Magufuli 2020
Nikuchagua Uminywaji wa Vyombo vya habari.
Nikuchagua watoto wetu wanaohitimu Vyuo Vikuu waendelew kukaa nyumbani bila Ajira.
Ni kuchagua Ukabila wa wazi.
Nikuchagua Ukandamizwaji wa Mihimili ya Bunge na Mahakama
Ni Sahihi kabisa Dr. SSEBUYOYA kaongoza Kura za Maoni.
Kikundi hiki kiko Strategically sana hakitoi pesa kama maharage.... mara nyingi hukupa nguvu zaidi ya kipesa unapopita kura za maoni.
Unapokuwa umepita Kura za Maoni kikundi hiki hukupatia Pesa kati ya Tsh. 20-40 Millions ili ufanye...
Kikundi hiki kilianzishwa na watu wachache.
Watu hawa wana miliki Biashara na wao wapo tayari kukusaidia pesa kwaajili ya Uchaguzi kwa Makubaliano maalumu
Uchaguzi wa Mwaka huu kuna
1- James Kasusula
2- King Ezrah
Na wengine wawili ambao natafta majina yao halisi.........
Makubaliano ya Albatross ni kutoa 20 kila mwaka
Habari ya Muda huu wadau wa Maendeleo ya Biharamulo.
Nimekaa kimya kwa Muda Mrefu juu ya Kikundi kinajiita Albatross kilichojitengeneza kwaajili ya jimbo la Biharamulo.
Leo nitazungumza ilivokua kwa Mwanachama Mmoja aliyejitoa.
"Baada ya kupoteza nafasi ua Ubunge Mwaka 1990 Mh. JPM ilibidi...
Mchuano Mkubwa ulikua kwa Mr. Denis aliyekua Katibu wa Mbunge aliyemaliza muda wake Ndg Anna Tibaijuka.
Mchuano huu ulikua dhidi ya Mwalimu Felix Bwahama ambae alikua Mkuu wa Shule ya Babro Johnson (KAJUMULO) inayomilikiwa na Anna tibaijuka.
Wagombea walikua wengi lakini wenye Nguvu walikua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.