Ukweli lazima tuseme huduma ni mbovu na hawako makini muda mwingine mimi walipoteza majibu ya mtoto maabara nimekaa mpaka muda wa kazi umeisha nikaambiwa niende mwenyewe maabara kufatilia nikakuta wanafunga ,yule mtu wa maabara kabaki anashangaa tena ananiambia huyu mtoto nilimpima na kusimamia...
Wengine sio waajira tunapambana na maisha tuishi hatuna bond zaidi ya vitu vya ndani na duka tafadhari fuataneni dm nafatilia uzi wangu naweza pata msaada
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.