Recent content by sansiro12

  1. S

    Kwa hii kashfa ya Mbowe kugeuza CHADEMA kuwa kichaka cha Mafisadi, anapaswa kujiuzulu

    So na yeye ni fisadi. Nani asiyejua hilo. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. S

    List of shame yaondolewa kwenye tovuti ya CHADEMA

    Hawana msimamo dhabiti. Ni wale wale. Dr Slaa aliliona hilo mapema Sent using Jamii Forums mobile app
  3. S

    Ushauri wa bure kwa Lowassa, japo it's now just a matter of time kabla... Tafadhali sana tunakuomba kwanza kanusha tamko hili!

    Walitaka hela zake hawakuona mbali. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. S

    Ushauri wa bure kwa Lowassa, japo it's now just a matter of time kabla... Tafadhali sana tunakuomba kwanza kanusha tamko hili!

    Kwani Chadema hawakujua hili litatokea. Mbona kilikuwa wazi kwa watu wenye political foresight. Chama ambacho hakina hiyo sustainability yake ipo mashakani Sent using Jamii Forums mobile app
  5. S

    Mara paah! Lissu kashinda Urais 2020. Je, watakimbia nchi?

    Ndoto za mchana Sent using Jamii Forums mobile app
  6. S

    Somo zuri kwa Tundu Lissu

    Makaburu waliwauwa waafrika lukuki kama haujui!!! Sent using Jamii Forums mobile app
  7. S

    Rais Magufuli: Sitatenga hela ya Katiba Mpya ili watu waende Bungeni kula; wala sikuinadi kwenye kampeni

    Rais anapostahili kusifiwa lazima asifiwe. Watu wengine waache ugonjwa wa kupinga kila kitu Hautawafikisha mbali.
  8. S

    Tanga: William Shelukindo na wenzie 5 wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uhujumu uchumi

    Hapa hakuna cha siasa. Watu walifanya uhujumu na kuwadhurumu wakulima wadogo wa chai ambao walikuwa wamiliki wa hicho kiwanda cha Mponde.
  9. S

    Tanga: William Shelukindo na wenzie 5 wapandishwa kizimbani kwa mashtaka ya uhujumu uchumi

    Maelezo yako yamechanganya na yasiyo na ukweli. You are biased. Moja wapo haujaeleza vizuri chimbuko halisi za mgogoro.
  10. S

    Eti kwanini benki za Kenya zinakuwa na kutapakaa nje ya Kenya ila za kwetu hapahapa zinafungwa?

    Watu wengi sasa hivi unaweza na kupitisha hela zao kwenye makampuni /mitandao ya simu. Wanashindana na mabenki.
  11. S

    PAC yashtushwa na mtaji wa 150,000 wa mwekezaji Mlimani City

    Kwenye Project Finance inawezekana mwekezaji akaweka hela/ mtaji kidogo na hela nyingi akakopa kwa Syndicated loans kwa ahadi kuwa atalipa mkopo kutokana na cash flows zitakazozalishwa na project tu,na sio kutokana na mapato yake. Chini ya Project finance mradi/project inaendeshwa na Special...
  12. S

    PAC yashtushwa na mtaji wa 150,000 wa mwekezaji Mlimani City

    Jamani kuimalishe hizi Kamati za Binge ziwe na wataalamu au washauri waliobobea.Mwekezaji was Mlimani City alichokifanya in Project Finance sio traditional project financing.Watu wengi na labda hiyo Kamati ya Binge wanaelewa traditional project financing. Ni vitu tofauti kitaalamu
  13. S

    PAC yashtushwa na mtaji wa 150,000 wa mwekezaji Mlimani City

    Project Finance in tofauti na traditional project financing ambayo inategemea hela za mwekezaji na mikopo.Mwekezaji analipa mkopo kutokana na hela zake hats kama haziusiki na mradi anaofanya.Tuelewe Project Finance inafanyikaje ndio tuje tujue kwa nini mwekezaji alitoa $75
Back
Top Bottom