Recent content by Sanitizer

  1. Sanitizer

    China yatangaza vifo vipya baada ya Marekani kutishia kufanya uchunguzi

    Wakuu... Tuendelee kuzingatia ushauri wa wataalam wa Afya juu ya hili gonjwa la COVID-19 Naomba leo tufikirishe kidogo nini kimetokea huko china ndani ya masaa 24 yaliyopita? Ni kwamba hawa ndugu zetu kwa muda sasa walikua wakiripoti #ActiveCases 1,2** . Wamekua wakiHold apo apo mpaka kufikia...
  2. Sanitizer

    Urusi yaisaidia Marekani kupambana na corona

    Umesoma lakini taarifa yenyewe hapo? Trump kadondoka kwenye simu ya mrussia yule kama alivyofanya kwa Xi .......... uswahilini kwetu tunasema " Marekani Kushnei "
  3. Sanitizer

    Mnaojenga Ubungo FlyOver, hamuoni kama kuna uhitaji wa vituo vya daladala pale?

    Kwa kweli kuna usumbufu mkubwa kwa raia wanaoishi maeneo yale na hata wale wanaotaka kusafiri mikoani. Daladala zinasimama barabarani zinaleta usumbufu kwa magari mengine. Juzi tu hapa gari ndogo ilitaka kugongana na lori kukwepa daladala iliyosimama kupakia abiria wa Gongo la Mboto. Mamlaka...
  4. Sanitizer

    Urusi yaisaidia Marekani kupambana na corona

    Wakuu, ni ukweli sasa Marekani imenyoosha mikono juu kufatilia kuongoza kuwa na cases nyingii za wagonjwa wa COVID-19 kuliko nchi yeyote duniani! Hii imepelekea mpaka Trump kumgeukia mhasimu wake wa muda mrefu na hivyo hapa tunavyoongea ndege ya Urusi ya kijeshi aina ya AntonovAN124 upo angani...
  5. Sanitizer

    Nachukizwa na hili la kujifanya mwingine wakati wa kuchat

    ndio kudate na watoto mkuu kuna nicost
  6. Sanitizer

    Nachukizwa na hili la kujifanya mwingine wakati wa kuchat

    Wengi wapo humu, niamini mimi nakuambia, hata wewe unaeza kuwa mmoja wao
  7. Sanitizer

    Nachukizwa na hili la kujifanya mwingine wakati wa kuchat

    my old ID!!!!? haha,i bet u're either "wasiojulikana" or someone else haha
  8. Sanitizer

    Nachukizwa na hili la kujifanya mwingine wakati wa kuchat

    Hi financial services , mambo?, uko wapi?
  9. Sanitizer

    Nachukizwa na hili la kujifanya mwingine wakati wa kuchat

    Wakuu... kwanza poleni kwa hizi Sanitizer kupandishwa bei kiholela! Mimi ni mzee/baharia wa vitoto vidogo vidogo ( ila ambavyo havipo kisheria/yanii vinamegwa bila risk ya kwenda jera). Sasa tatizo ambalo nakutana nalo ni hili unakuta unafanya mishe zako mara paap namba ngeni iyo hapo...
  10. Sanitizer

    Facebook Kwa Kushirikiana na WHO watoa link ya updates Covid-19 kwa Whatsapp

    There are some deads out there, how can u say the thing is shit [emoji849]
  11. Sanitizer

    Facebook Kwa Kushirikiana na WHO watoa link ya updates Covid-19 kwa Whatsapp

    Na wewe hii Licking Wounds ulitumia fursa ipi? [emoji3][emoji3][emoji3]
  12. Sanitizer

    Facebook Kwa Kushirikiana na WHO watoa link ya updates Covid-19 kwa Whatsapp

    Wakuu ukiClick hii link itakupeleka moja kwa moja kwa group la whatsap la WHO ambapo kutokea humo unaeza kupata Updates Na mambo mengine mengi kuhusina CORONAVIRUS LINK : Link Partager sur WhatsApp
  13. Sanitizer

    Utata uliojificha kuhusu Corona

    Mi mwenyewe hapa niliona ananiongopea
  14. Sanitizer

    Dada aliyekutwa na Corona Tanzania siyo bure

    Mimi bado nawaza kuhusiana na huyu mtu wa kwanza kukutwa na coronavirus nchini. 1. Je, wakati yupo Ubelgiji, alifahamu kuwa anaishi na mtu ambaye ana coronavirus, alifaham haya kabla yupo huko? 2. Ni kwanini aliamua kujiweka lockdown hotelini. Je, alijifahamu kama anaweza kuwa navyo? 3...
Back
Top Bottom