Recent content by sangaone98

  1. sangaone98

    Mkiambiwa kuwa hamna akili msiwe wabishi. Kila kukicha wanaharakati wenu wajinga wanazusha mambo halafu mnataka serikali itoe majibu

    PUnguza hasira mkuu ISsue yako imekaa vizuri tatiz umendika kwa hasira kana kwamba unatukanwa wewe.
  2. sangaone98

    Natafuta Kazi kibarua nipo Songea vijijini

    aisee kwel kama mitungi inaweza kukupa idea za buz na maisha wacha watu wanywr ila kwa kiasi tu
  3. sangaone98

    Natafuta Kazi kibarua nipo Songea vijijini

    Naheshimu hilo mkuu kama sio Jf labda leo ningekuwa iringa nawaza nini cha kufanya Kwenye uzi wangu wa jana nimepata idea kibao za 1.5M Nimeanza ku breakdown badget na namna yakufanya ili ishu zikae kikazi Pia mwenetu wa songea kama kunamtu atakuja Dm mskilize ila uwe na akilri yako. Ulicho...
  4. sangaone98

    Nina Miaka 22 ila sijawahi Sex kabisa na Mwanamke yeyote na ninaogopa sana

    Me nilipata dem wa kulamba nikiwa 24 yaani mpaka leo sijawai heal
  5. sangaone98

    Nina Miaka 22 ila sijawahi Sex kabisa na Mwanamke yeyote na ninaogopa sana

    Nyeto itakumalz kijana tafta hata mama ntilie akupe vitu ila sio lazma unaweza komaa hivo hivo
  6. sangaone98

    Natafuta Kazi kibarua nipo Songea vijijini

    min -me umekuwa mstari wa mbele sana kuwapa idea vinaja ambao life imetukalia vibaya nakumbuka hata mimi nilivo post uzi wa kutafta mishe ulikuwa msaada wa mawazo
  7. sangaone98

    Natafuta Kazi kibarua nipo Songea vijijini

    min -me umekuwa mstari wa mbele sana kuwapa idea vinaja ambao life imetukalia vibaya nakumbuka hata mimi nilivo post uzi wa kutafta mishe ulikuwa msaada wa mawazo.
  8. sangaone98

    Mrejesho kuhusu kuomba kazi au mishe yoyote JF

    Ahsante mkuu ila hilo ni ngumu sana kwa sas
  9. sangaone98

    Natafuta kazi, kibarua au ajira

    NIlienda mafinga ila kunamtu alikuja Pm ikawa safari ya mjini dar mpka now nipo huku nachangamsha akili
  10. sangaone98

    Mrejesho kuhusu kuomba kazi au mishe yoyote JF

    bora nyie mnawaz kustaafu sisi huku bado tunajitauta daily
  11. sangaone98

    Mrejesho kuhusu kuomba kazi au mishe yoyote JF

    Nimewai fanya kazi kwenye mifugo huko njombe makambako bos alikuwa na ngurue 40 kila siku alikuwa anatumia tsh 18000 kwaajili mixa za chakula kwaiyo inaitajiaka backp kwenye idea hii
  12. sangaone98

    Mrejesho kuhusu kuomba kazi au mishe yoyote JF

    Ahsante mkuu wazo la lomomy nalifanyia kazi maana ndio wazo rahisi kwa mazingira niliyopo.
Back
Top Bottom