Naheshimu hilo mkuu kama sio Jf labda leo ningekuwa iringa nawaza nini cha kufanya
Kwenye uzi wangu wa jana nimepata idea kibao za 1.5M
Nimeanza ku breakdown badget na namna yakufanya ili ishu zikae kikazi
Pia mwenetu wa songea kama kunamtu atakuja Dm mskilize ila uwe na akilri yako.
Ulicho...
min -me umekuwa mstari wa mbele sana kuwapa idea vinaja ambao life imetukalia vibaya nakumbuka hata mimi nilivo post uzi wa kutafta mishe ulikuwa msaada wa mawazo
min -me umekuwa mstari wa mbele sana kuwapa idea vinaja ambao life imetukalia vibaya nakumbuka hata mimi nilivo post uzi wa kutafta mishe ulikuwa msaada wa mawazo.
Nimewai fanya kazi kwenye mifugo huko njombe makambako bos alikuwa na ngurue 40 kila siku alikuwa anatumia tsh 18000 kwaajili mixa za chakula kwaiyo inaitajiaka backp kwenye idea hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.