Recent content by sangaone98

  1. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Boda boda tusaidiwe na sio kubezwa

    Muhali gani ndugu jamaa na marafiki waume kwa waume, Heshima kwa wakubwa zangu na kwa wadogo zangu me sijambo. direct kwenye mada Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyo jieleza watu wote tunao tumia pikipiki kama kifaa cha kutupatia mkate wetu wa kila siku na jua kali la mji huu wa...
  2. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    Leo tena au me ndio sijui ratiba za kanisani kwangu wakuu
  3. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnitakie heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu

    Haha mama saivi hataki hata salamu yangu anataka niwe na familia mkuu nachoka🤣🤣
  4. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Je Serikali ya Tanzania imetoa tamko gani juu ya amri iliyotolewa na Rais wa Kenya kuhusu kukamata wageni wote wanaofanya biashara ndogondogo ?

    Jamani sisis tutulie tu kunawachina wanafuga kuku,nguruwe,wanalima yani kalibu kila kazi ambazo ilibidi tufanye sisi wanafanya wao tena kwa mitaji mikubwa sana kiasi hatuwezi kuwa washindani wao sokoni, ukienda kariakoo kunawachina wanauza bizaa kwa bei ya china na wapo tz na kuna watu wanatoa...
  5. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Shemeji yangu amegushi muhtasari wa ukoo wa mirathi

    Kesi kama hii imewai tokea kweye ukoo wangu mwaka 2013 Baada ya baba mkubwa kufariki ukoo ulikubaliana mali za marehemu zibakie na mama(mke)pamoja na watoto wake Akateuliwa mtu mmjo wa kuwasikiliza kama watakuwa na ishu yaani ni kama muangalizi wa ile familia Baada ya kama miaka 2 hivi hakuna...
  6. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Naombeni mnitakie heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwangu

    Me pia nimeingi 28 saivi ila hakuna kitu kinanipa stress kama kuingia 30s nikiwa apeche na sina mke wala mtoto wa nje duh Anyway Heri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa ndugu muandishi
  7. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Voices From Within: Nimeelezwa Makamu Rais Mstaafu Balozi, Dr. Emmanuel Nchimbi Yuko Salama, Hajazuiliwa, Hajashikiliwa ni Ameamua Kutulia, Kunyamaza!

    Nipende tu kusema ya kwamba sina neno kabisa kwenye hili maana siasa za taifa langu hata hazifurahishi. Tujiandae kwa ibada ya kesho Locatio PUGU SHULE kalibuni. JAmani mapendo daima daima mapendo
  8. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Ni bora kukomaa hapahapa Tanzania mungu atajaalia, kila nikiwaangalia wanao rudi kutoka Afrika Kusini, nachoka kabisa

    Umetumia sample size ndogo sana kwenye uchambuzi wa maisha halisia kupitia video mjongeo zisizo zid 5, Kufanya hitimisho la kitu kilicho itaji muda kidogo kuchambua Walio ludi ni wale walio shindwa na ndio walio onekana mbele ya camera kwa ayo tv ila kunaambao wamejipata huwa wana ludi na...
  9. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanaostahili kuhudumiwa na kupewa pesa

    Min-me Ulipotea watu wakaanza kukurafta ndio umekuja na huu mjadala wa aina hii Tuludi nyuma kidogo ulivokuwa umeadimika ulikuwa wapi? Au ndio ulitoa pesa kwa mtu ambaye inabidi akajitaftie🤣🤣 anyway welcome again
  10. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Muhoozi Kainerugaba anataka kuanza kumkamua mkosoaji wake utumbo.

    🤣🤣🤣
  11. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Tema Cheche aweka wazi mahari ya ni milioni mia moja

    Nakazia📌
  12. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Onyo: Usimwoe mwanamke anayejipost mitandaoni

    Ishu kama hii wanawake wengi wataona kama fedheha kwao, ila kwa ME ni muhimu kuangalia privacy ya familia kama unaitaji kupunguza atention zisizo za msingi.
  13. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Nataka nifungue kampuni itayohusika na kununulia wateja umeme kutoka TANESCO

    Me ningeshauri kama mnaweza toa muongozo hapa ingufaa zaidi ili kila mtu aone maana kunawengine tunatamani kujua zaid kuhusu hili pamoja na kujifunza
  14. sangaone98

    JamiiForums Tanzania Mwanaume nipe ushuhuda ulivyoweza kuacha kujichua

    Me niliacha baada ya kuchujia huku najiangalia kwenye kiooo mh sitolidia kijichua maisha yote maan kwa nilicho kiona kwenye kioo hakuwa mimi yule mpaka leo nikiangalia kioo najiona nikiwa vile sitaki hata kutamni tena
Back
Top Bottom