Muhali gani ndugu jamaa na marafiki waume kwa waume, Heshima kwa wakubwa zangu na kwa wadogo zangu me sijambo.
direct kwenye mada
Kama kichwa cha habari hapo juu
kinavyo jieleza watu wote tunao tumia pikipiki kama kifaa cha kutupatia mkate wetu wa kila siku na jua kali la mji huu wa...
Jamani sisis tutulie tu kunawachina wanafuga kuku,nguruwe,wanalima yani kalibu kila kazi ambazo ilibidi tufanye sisi wanafanya wao tena kwa mitaji mikubwa sana kiasi hatuwezi kuwa washindani wao sokoni,
ukienda kariakoo kunawachina wanauza bizaa kwa bei ya china na wapo tz na kuna watu wanatoa...
Kesi kama hii imewai tokea kweye ukoo wangu mwaka 2013
Baada ya baba mkubwa kufariki ukoo ulikubaliana mali za marehemu zibakie na mama(mke)pamoja na watoto wake
Akateuliwa mtu mmjo wa kuwasikiliza kama watakuwa na ishu yaani ni kama muangalizi wa ile familia
Baada ya kama miaka 2 hivi hakuna...
Me pia nimeingi 28 saivi ila hakuna kitu kinanipa stress kama kuingia 30s nikiwa apeche na sina mke wala mtoto wa nje duh
Anyway
Heri ya siku ya mfanano wa kuzaliwa ndugu muandishi
Nipende tu kusema ya kwamba sina neno kabisa kwenye hili maana siasa za taifa langu hata hazifurahishi.
Tujiandae kwa ibada ya kesho
Locatio
PUGU SHULE kalibuni.
JAmani mapendo daima daima mapendo
Umetumia sample size ndogo sana kwenye uchambuzi wa maisha halisia kupitia video mjongeo zisizo zid 5,
Kufanya hitimisho la kitu kilicho itaji muda kidogo kuchambua
Walio ludi ni wale walio shindwa na ndio walio onekana mbele ya camera kwa ayo tv ila kunaambao wamejipata huwa wana ludi na...
Min-me
Ulipotea watu wakaanza kukurafta ndio umekuja na huu mjadala wa aina hii
Tuludi nyuma kidogo ulivokuwa umeadimika ulikuwa wapi? Au ndio ulitoa pesa kwa mtu ambaye inabidi akajitaftie🤣🤣 anyway welcome again
Ishu kama hii wanawake wengi wataona kama fedheha kwao, ila kwa ME ni muhimu kuangalia privacy ya familia kama unaitaji kupunguza atention zisizo za msingi.
Me niliacha baada ya kuchujia huku najiangalia kwenye kiooo mh sitolidia kijichua maisha yote maan kwa nilicho kiona kwenye kioo hakuwa mimi yule mpaka leo nikiangalia kioo najiona nikiwa vile sitaki hata kutamni tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.